Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136
Shirikisho la soka duniani Fifa limetangaza viwango vya ubora vya mchezo wa soka kwa mwezi Septemba ambapo Argentina wanaendelea kuongoza katika chati hiyo. Mabingwa wa dunia Ujerumani wanashika nafasi ya pili, huku Ubelgiji wakishika nafasi ya tatu katika viwango vya ubora. Algeria ndio taifa la Afrika linaloongoza likiwa nafasi ya 19 huku Ivory Coast wakiwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Tanzania yashika nafasi ya 100 Fifa
Wakati mkutano mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ukianza mjini Morogoro kesho, Tanzania imepanda kwenye ubora kulingana na viwango vipya vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Fifa yataja viwango vya ubora wa soka
Tanzania na Uganda zimeshuka katika viwango ya FIFA vilivyotolewa wiki hii huku Kenya , Sudan na Rwanda zikipanda.
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Fifa yatoa viwango vipya vya soka .
FIFA imetoa viwango vipya vya soka duniani ,Tanzania na Rwanda zikishuka wakati Kenya, Uganda na Burundi zikipanda viwango.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH7SmeTv9BQcR24IHqz5g0se70au0lyt47ZPpyotHr8VKS8-6wHBwHxj*w5PEmuFzeKrREjqYb29Qb9yJsOlxic8/1FIFANEW.jpg?width=650)
TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO VYA FIFA
SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa Agosti, 2014 huku Tanzania ikiporomoka kwa nafasi nne kutoka 106 hadi 110. Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Agosti 14, 2014 Ujerumani ndiyo vinara wakifuatiwa na Argentina, Uholanzi, Colombia, Ubelgiji, Uruguay, Hispania, Brazil, Switzerland na Ufaransa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqappw-IGgawJTCq8SjBy9H1dR*hKWBRq8tttsL7zgFMja4fVuRom-3XYnQdnRzL8O-zML05kRUcXf7aOYvRPBBjj/fifa2.jpg?width=650)
TANZANIA YAZIDI KUSHUKA VIWANGO VYA FIFA
SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa mwezi Septemba, 2014 huku Tanzania ikishuka kwa nafasi tano kutoka 110 hadi 115. Tanzania imeonyesha kuzidi kuporomoka katika viwango hivyo baada ya orodha ya Agosti 14, 2014 kushika nafasi ya 110 ikiwa imeshuka nafasi nne kutoka ya 106. Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Septemba 18, 2014 Ujerumani ndiyo vinara katika 10 bora wakifuatiwa...
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kenya yapanda nafasi 27 katika orodha ya FIFA
Licha ya kuondolewa katika kinyang'anyiro cha kufuzu kwa kombe la dunia Harambee Stars ya Kenya imepanda nafasi 27 inaorodheshwa katika nafasi ya 25 barani Afrika na 98 duniani.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wW5yEPGzLck/VoUfekMF-YI/AAAAAAAIPk4/xeRuUmbBvzs/s72-c/IMG_9852.jpg)
TANZANIA YASHIKA NAFASI YA 82 KWA UHURU WA KIUCHUMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-wW5yEPGzLck/VoUfekMF-YI/AAAAAAAIPk4/xeRuUmbBvzs/s640/IMG_9852.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n5lyIvv7ht4/VoUfesZQv1I/AAAAAAAIPk8/H58cO9eceXw/s640/IMG_9857.jpg)
Na Zainabu Hamis, Globu ya JamiiTANZANIA ni miongoni mwa nchi 100 Duniani zilizo huru Kiuchumi, pia imeshika nafasi ya 82 ya Uhuru wa Kiuchumi Dunia kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y0EK4KOiKns/U4hJ3cb2OUI/AAAAAAAFmdU/xoVL004yy9Y/s72-c/4.jpg)
TIMU YA U15 TANZANIA YASHIKA NAFASI YA PILI AYG
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y0EK4KOiKns/U4hJ3cb2OUI/AAAAAAAFmdU/xoVL004yy9Y/s1600/4.jpg)
Mechi hiyo ilichezwa Uwanja wa SSKB jijini Gaborone ambapo kwa matokeo hayo Tanzania imetwaa medali ya fedha baada ya kushika nafasi ya pili. Nigeria ndiyo ilishika nafasi ya kwanza na kutwaa medali ya dhahabu.
Tanzania imemaliza ikiwa na pointi kumi ambapo ilishinda mechi tatu,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania