Fifa yatoa viwango vipya vya soka .
FIFA imetoa viwango vipya vya soka duniani ,Tanzania na Rwanda zikishuka wakati Kenya, Uganda na Burundi zikipanda viwango.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Fifa yataja viwango vya ubora wa soka
Tanzania na Uganda zimeshuka katika viwango ya FIFA vilivyotolewa wiki hii huku Kenya , Sudan na Rwanda zikipanda.
9 years ago
Bongo503 Oct
Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136
Shirikisho la soka duniani Fifa limetangaza viwango vya ubora vya mchezo wa soka kwa mwezi Septemba ambapo Argentina wanaendelea kuongoza katika chati hiyo. Mabingwa wa dunia Ujerumani wanashika nafasi ya pili, huku Ubelgiji wakishika nafasi ya tatu katika viwango vya ubora. Algeria ndio taifa la Afrika linaloongoza likiwa nafasi ya 19 huku Ivory Coast wakiwa […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5N6Pt9JoLvcvKUM6CxSDDTAESpgSdEJ7Sp-1SXsCc7IHUxCZMvadt88usUAb8gh4v7UAKTerewAB*7C5m9ZVE*O/7af2MOSHI.jpg)
SUMATRA YATANGAZA VIWANGO VIPYA VYA NAULI
TAARIFA KWA UMMA NAULI ZA MABASI YA MASAFA MAREFU NA MIJINI
1.0 UTANGULIZI
Kuelekea mwishoni mwa mwaka 2014 bei ya mafuta yatumikayo katika vyombo vya usafiri wa abiria nchini ilianza kushuka. Kufuatia kushuka huko kwa bei, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) ilikuwa ikipokea wito wa kupitia upya viwango vya juu vya nauli ambavyo viliwekwa na Mamlaka mwezi Aprili, 2013. Hivyo SUMATRA ikaamua...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ASEMA SERIKALI HAIJARIDHIA VIWANGO VIPYA VYA NAULI YA MABASI YAENDAYO KASI.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizunguza na Waandishi wa Habari kwenye uwanja wa Ngege wa Julius Nyerere baada ya kuwasili akitoka Songea Januari 6, 2016. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Geoge Simbachawene. na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es slaam Meck Sadiki.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH7SmeTv9BQcR24IHqz5g0se70au0lyt47ZPpyotHr8VKS8-6wHBwHxj*w5PEmuFzeKrREjqYb29Qb9yJsOlxic8/1FIFANEW.jpg?width=650)
TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO VYA FIFA
SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa Agosti, 2014 huku Tanzania ikiporomoka kwa nafasi nne kutoka 106 hadi 110. Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Agosti 14, 2014 Ujerumani ndiyo vinara wakifuatiwa na Argentina, Uholanzi, Colombia, Ubelgiji, Uruguay, Hispania, Brazil, Switzerland na Ufaransa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqappw-IGgawJTCq8SjBy9H1dR*hKWBRq8tttsL7zgFMja4fVuRom-3XYnQdnRzL8O-zML05kRUcXf7aOYvRPBBjj/fifa2.jpg?width=650)
TANZANIA YAZIDI KUSHUKA VIWANGO VYA FIFA
SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa mwezi Septemba, 2014 huku Tanzania ikishuka kwa nafasi tano kutoka 110 hadi 115. Tanzania imeonyesha kuzidi kuporomoka katika viwango hivyo baada ya orodha ya Agosti 14, 2014 kushika nafasi ya 110 ikiwa imeshuka nafasi nne kutoka ya 106. Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Septemba 18, 2014 Ujerumani ndiyo vinara katika 10 bora wakifuatiwa...
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kubadilika kwa vifurushi vya mawasiliano. Malalamiko hayo yalikuja baada ya baadhi ya mitandao ya simu kupunguza ukubwa wa data anazopata mtumiaji wa simu anapojiunga na vifurushi vya muda wa maongezi, sms na data kwa pamoja. Baadhi […]
10 years ago
Habarileo14 May
Tanesco kuja na viwango vipya
SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) linakusudia kupanga viwango vipya vya malipo ya umeme vitakavyotoa unafuu kwa taasisi hiyo na wadau wake endapo vyombo vinavyohusika, ikiwamo EWURA vitaidhinisha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania