TANZANIA YAZIDI KUSHUKA VIWANGO VYA FIFA
![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqappw-IGgawJTCq8SjBy9H1dR*hKWBRq8tttsL7zgFMja4fVuRom-3XYnQdnRzL8O-zML05kRUcXf7aOYvRPBBjj/fifa2.jpg?width=650)
SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa mwezi Septemba, 2014 huku Tanzania ikishuka kwa nafasi tano kutoka 110 hadi 115. Tanzania imeonyesha kuzidi kuporomoka katika viwango hivyo baada ya orodha ya Agosti 14, 2014 kushika nafasi ya 110 ikiwa imeshuka nafasi nne kutoka ya 106. Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Septemba 18, 2014 Ujerumani ndiyo vinara katika 10 bora wakifuatiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH7SmeTv9BQcR24IHqz5g0se70au0lyt47ZPpyotHr8VKS8-6wHBwHxj*w5PEmuFzeKrREjqYb29Qb9yJsOlxic8/1FIFANEW.jpg?width=650)
TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO VYA FIFA
9 years ago
Bongo503 Oct
Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Fifa yatoa viwango vipya vya soka .
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Fifa yataja viwango vya ubora wa soka
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania yashuka tena viwango Fifa
10 years ago
Habarileo07 Aug
Tanzania yazidi kupotea Fifa
TANZANIA imeendelea kufanya vibaya kwenye nafasi ya ubora wa viwango vya Fifa na sasa imeporomoka mpaka nafasi ya 140 kutoka 139 mwezi uliopita.
10 years ago
Habarileo04 Feb
Mafuta yazidi kushuka bei
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka zaidi kwa bei za bidhaa za mafuta hapa nchini kuanzia leo, kutokana na bei katika soko la dunia kuendelea kuporomoka.
9 years ago
Mtanzania06 Jan
Bei ya Petroli yazidi kushuka
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa, ikilinganishwa na bei ya mwaka jana.
Taarifa iliyotolewa na EWURA jana na kusainiwa na Mkurugenzi Mkuu wake, Felix Ngamlagosi, ilieleza kuwa bei hiyo elekezi itaanza kutumika kuanzia leo Januari 6.
Ngamlagosi alitaja sababu mojawapo ya kupungua kwa bei za mafuta ni kushuka kwa bei za mafuta katika soko la dunia, pamoja na...