Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yazidi kupotea Fifa

TANZANIA imeendelea kufanya vibaya kwenye nafasi ya ubora wa viwango vya Fifa na sasa imeporomoka mpaka nafasi ya 140 kutoka 139 mwezi uliopita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TANZANIA YAZIDI KUSHUKA VIWANGO VYA FIFA

SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa mwezi Septemba, 2014 huku Tanzania ikishuka kwa nafasi tano kutoka 110 hadi 115. Tanzania imeonyesha kuzidi kuporomoka katika viwango hivyo baada ya orodha ya Agosti 14, 2014 kushika nafasi ya 110 ikiwa imeshuka nafasi nne kutoka ya 106. Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Septemba 18, 2014 Ujerumani ndiyo vinara katika 10 bora wakifuatiwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michoro ya kihistoria kupotea Tanzania?

Michoro ya kwenye miamba iliyo mkoani Dodoma katikati mwa Tanzania, imeelezwa kuwa iwapo haitatunzwa vizuri

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege nne ziliwahi kupotea Tanzania

>Wakati tukio la kupotea kwa ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia, MH370, linaendelea kuitikisa dunia, imebainika kuwa Tanzania si jambo jipya kutokana na kuwapo kwa kumbukumbu ya matukio manne tofauti kama hayo katika miongo minane iliyopita

 

10 years ago

Mtanzania

Tanzania yazidi kunufaika na uwekezaji

Dan Friedkin, Chairman and CEO of Friedkin Companies shaking hands with our President recentlyNa Enock Bwigabe, TUDARCO

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kimesema Tanzania imepata uwekezaji wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 zitakazochangia katika uboreshaji wa utalii na masuala ya uhifadhi nchini.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana, ilisema uwekezaji huo ulithibitishwa mwanzoni mwa mwezi huu kupitia Kamati ya Uendeshaji ya Uwezeshaji ya Taifa (NISC) iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka

Shilingi ya Tanzania imeendelea kushuka kwa asilimia 20 dhidi ya dola ya Kimarekani,na kuathiri mitaji ya uwekezaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yazidi kujiimarisha kiulinzi-Kikwete

Rais Jakaya Kikwete amesema Tanzania imezidi kujiimarisha kiulinzi baada ya kuanza kuwasomesha maofisa wake hapa nchini, ambao awali walikuwa wakienda kusoma nje ya nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yazidi kufanya kweli Botswana

TIMU ya Tanzania chini ya miaka 15, imeendelea kung’ara kwenye Michezo ya Afrika kwa Vijana (AYG) kwa upande wa soka baada ya kuichapa Swaziland mabao 3-0. Mabao ya Tanzania katika...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yazidi kung’ara kimataifa

TANZANIA imeendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ya kimataifa, ambapo sasa imeibuka kuwa mshindi kimataifa na kukubaliwa kuanzisha mradi mkubwa wa Kanda ya Kati wa Uchukuzi. Mradi huo utakaohusisha miundombinu ya reli, barabara na bandari unatarajiwa kuanza kutekelezwa wakati wowote nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani