TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO VYA FIFA
![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH7SmeTv9BQcR24IHqz5g0se70au0lyt47ZPpyotHr8VKS8-6wHBwHxj*w5PEmuFzeKrREjqYb29Qb9yJsOlxic8/1FIFANEW.jpg?width=650)
SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa Agosti, 2014 huku Tanzania ikiporomoka kwa nafasi nne kutoka 106 hadi 110. Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Agosti 14, 2014 Ujerumani ndiyo vinara wakifuatiwa na Argentina, Uholanzi, Colombia, Ubelgiji, Uruguay, Hispania, Brazil, Switzerland na Ufaransa.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqappw-IGgawJTCq8SjBy9H1dR*hKWBRq8tttsL7zgFMja4fVuRom-3XYnQdnRzL8O-zML05kRUcXf7aOYvRPBBjj/fifa2.jpg?width=650)
TANZANIA YAZIDI KUSHUKA VIWANGO VYA FIFA
9 years ago
Bongo503 Oct
Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Fifa yataja viwango vya ubora wa soka
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Fifa yatoa viwango vipya vya soka .
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania yashuka tena viwango Fifa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Tv5wAJKQN8g/UvpsNE6BTUI/AAAAAAAFMas/turaE_MrroA/s72-c/unnamed+(95).jpg)
TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tv5wAJKQN8g/UvpsNE6BTUI/AAAAAAAFMas/turaE_MrroA/s1600/unnamed+(95).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tkefdNWm5i0/UvpsONNv4nI/AAAAAAAFMaw/Isb_oe0Cqok/s1600/unnamed+(96).jpg)
10 years ago
Michuzi16 Oct