TANZANIA YASHIKA NAFASI YA 82 KWA UHURU WA KIUCHUMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-wW5yEPGzLck/VoUfekMF-YI/AAAAAAAIPk4/xeRuUmbBvzs/s72-c/IMG_9852.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Initiative for Policy & Education(UIPE), Isack Dornad akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Initiative for Policy & Education(UIPE), Isack Dornad jijini Dar es Salaam leo. Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.
Na Zainabu Hamis, Globu ya JamiiTANZANIA ni miongoni mwa nchi 100 Duniani zilizo huru Kiuchumi, pia imeshika nafasi ya 82 ya Uhuru wa Kiuchumi Dunia kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Tanzania yashika nafasi ya sita kwa wagonjwa wengi wa TB Afrika
9 years ago
MichuziTANZANIA YASHIKA NAFASI YA TATU KATIKA UWAZI WA BAJETI KWA NCHI ZA A.MASHARIKI
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Tanzania yashika nafasi ya 100 Fifa
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y0EK4KOiKns/U4hJ3cb2OUI/AAAAAAAFmdU/xoVL004yy9Y/s72-c/4.jpg)
TIMU YA U15 TANZANIA YASHIKA NAFASI YA PILI AYG
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y0EK4KOiKns/U4hJ3cb2OUI/AAAAAAAFmdU/xoVL004yy9Y/s1600/4.jpg)
Mechi hiyo ilichezwa Uwanja wa SSKB jijini Gaborone ambapo kwa matokeo hayo Tanzania imetwaa medali ya fedha baada ya kushika nafasi ya pili. Nigeria ndiyo ilishika nafasi ya kwanza na kutwaa medali ya dhahabu.
Tanzania imemaliza ikiwa na pointi kumi ambapo ilishinda mechi tatu,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqux06JdK6D7qi86dq8*cXtW0VEGGNShD2IZQ3zwBx0DZ5*g7fuyoxw8aMSQrrXM7tCmCrw4K5bGGjgU3yJTq9u/STARS.jpg?width=650)
TANZANIA BARA YACHAPWA NA ZAMBIA, YASHIKA NAFASI YA NNE CHALENJI
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Tanzania yashika nafasi ya pili katika malipo kupitia simu za mkononi
Kumiliki simu ya mkononi imekuwa si jambo la starehe kama miaka ya nyuma ilivyokuwa inasadikika. Kadri miaka inavyozidi kwenda kumekuwa na matoleo mapya ya simu za mkononi na huduma za kipekee zilizo na manufaa kwa jamii.
Meneja mkazi wa JovagoTanzania, Bw.Andrea Guzzoni amefafanua kwamba “kadri matumizi ya simu za kisasa yanavyoongezeka, kunakuwa na huduma tofauti za malipo kupitia simu za mkononi (Online payments), malipo haya yameongezeka kwa kasi kubwa kupitia Mpesa, Tigopesa, Airtel...
9 years ago
Bongo503 Oct
Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136
10 years ago
BBCSwahili07 May
Azam yaifunga Yanga yashika nafasi 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CqS1OBCzBfKfVG6MWerGTW1ZK2EaOkLl6rFH8QLyKNdj-2dFZ5hfJ5jID37FMTWcQ9qGfHYmFIcRKUHf70TzNxz/1.jpg)
UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2014