Waamuzi 11 nchini wapata Beji za FIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7hCPgjHmbjg/VKu1U64mB7I/AAAAAAAG7ps/DtSzqdVM0xM/s72-c/MMGM0605.jpg)
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi akizungumza na Waandishi wa Habari pamoja na baadhi ya waamuzi waliopata hadhi ya kuwa waamuzi wenye beji za FIFA katika hafla fupi ya kukabidhi Beji hizo,iliyofanyika leo kwenye Viwanja vya Karume Mchikichini,Jijini Dar es salaam.Jumla ya waamuzi 11 wamepata Beji ya FIFA mwaka huu na kupelekea idadi ya waamuzi wote nchini wenye Beji hizo kufikia 18.Picha zote na Othman Michuzi.
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Waamuzi Tanzania watetea beji za FIFA
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), limewapa beji waamuzi 10 wa Tanzania kwa mwaka 2014. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Shirikisho la...
10 years ago
Michuzi06 Jan
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Fifa watua kuchunguza waamuzi
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Tanzania-waamuzi 11 kwenye orodha ya FIFA
9 years ago
Michuzi01 Oct
MALINZI AFUNGA KOZI YA WAAMUZI WA FIFA
![](http://tff.or.tz/images/refereecoz.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2qskgZkOg0I/VKvjVeeSrqI/AAAAAAAG7tM/Iu8Y4_sIqE4/s72-c/DSC_0542.jpg)
Wanafunzi Chimbukizi wa Sayansi wapata udhamini wa kusoma nchini Ireland
Wanafunzi Chimbukizi wa Sayansi wameitaka serikali kuwekeza katika masomo ya sayansi ili nchi kuweza kupata watalaam ambao watasaidia kutatua changamoto katika jamii.
Hayo waliyasema leo wanafunzi wa Sayansi Chimbukizi walioshinda mashindano ya utafiti kwa kutumia malighafi asili ya kutengeneza dawa ya kuua Nzi na Mbuu ambao wamepewa udhamini na Mfuko wa Karimjee Jivanjee (KJF)wa kwenda kusoma nchini Ireland.
Wanafunzi hao ni Dharia Amour Ali na Salma...
10 years ago
TheCitizen24 Dec
ANALYSIS:Tunisian Arab spring feat as Beji wins polls
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s72-c/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s640/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vqqdr1C2m4I/VWXa_UWJKBI/AAAAAAABPZw/PFNdnr68D7o/s640/2916BB2300000578-3098633-Six_high_ranking_FIFA_executives-a-86_1432706905792.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gwH3to2ZXp0/VWXa_ZWvsjI/AAAAAAABPZs/ueOw-9Hqi94/s640/2919C5CB00000578-3098633-image-a-112_1432708514643.jpg)