MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s72-c/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
Maafisa saba wa juu wa shirikisho la soka duniani, FIFA wamekamatwa kwa shutuma za kupokea rushwa. Maafisa hao walikamatwa kwenye hoteli ya Baur au Lac ya jijini Zurich, Jumatano hii. Polisi wa Uswisi wamekamata maafisa hao wakiwemo makamu wa rais wawili baada ya kuivamia kwa kushtukiza hoteli hiyo.
Makamu wa rais wa FIFA, Jeffrey Webb anaaminika kuwa mmoja wa maafisa waliokamatwa alfajiri ya leo wakiwa kwenye hoteli ya kifahari nchini Uswisi
Eduardo Li, kutoka Costa Rica naye pia alikamatwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTo4XjsjDWuyoiadHpyhARrrv67snMtzEJ29J*kWeo93LKN3dBGhfVslw5KKW9C7jlB4pxqPn8fDpGQ8PF8me*7/FIFA.jpg?width=650)
MAAFISA WA FIFA WAKAMATWA ZURICH KWA TUHUMA ZA RUSHWA
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Maafisa wa Fifa wakamatwa Zurich
10 years ago
BBCSwahili27 May
Rushwa:Maafisa wa Soka wakamatwa Zurich
11 years ago
Michuzi24 May
ZIARA YA RAIS WA TFF MAKAO MAKUU YA FIFA JIJINI ZURICH, SWITZERLAND
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Fr4Q5Oxn9lRC0DfYLynsAfn2PJ2eysvv4MscROyI8qIQE2TSsNxY_MzAgcGeAXdTYjTufo8a62gqXng6Rck9YQYIRR84WhVKgoovZFHMgt67jB74Nr7-Cw5oFcBg7iz1sgbhB3t8kti8dk7o_ev8rRh44RTdkD7_mvyrnRF_6im9Z17Yhf0TG5Lir3HDNH8fTe_e7S2JJ_pkAuV6R4riW3gKN2g9dSNPsBm1nHxp2L6tMArmy3UiSdSCCtYLEenG-6QPwKrlUtzbwMjjwpJ5tnrP1aUsdInZ_Z2EPZCHbDn86DK-hyToy6SPsyhS39I0vpyHwK7hXSxB=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-A_KsQ5vLQv0%2FU378QVtOqII%2FAAAAAAAAWMU%2Fz6s9bd3yL7s%2Fs1600%2Fs.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/yFvP8zw23p-3yNg_GKkMW3XnFEi8P8cYsSUaZC7x6ocNm7-N-5lFRBDeWUdoEVmmdpCaZ9wATym_egROrW4ZUYRNoN20E7ypFbhjb-5g4YOT-X-Y4bEJkT4hzX9Qcqv9ZjPf0yjSqR6XAbhfQMwx4e_2LxPd-3UHAidCl4hLWixucig5NkbkvO5QL6tJtqonUFwVl2RyzYXou3Qd5vrT6LWXiBz-nPBYATP_1FXH2Bl4lkD29HfHr2oZ1QQZsEiHrfSZCwMLKbsnNeNs4RNlrvHF7UNNE8nQxMuhxo8Vnob8xYX7LUu9VDbYWsKxdTh5kSW11RHTpxTZ6UcF5xdExyYT_Cg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-p3QLFOlkRfA%2FU378QPIGwzI%2FAAAAAAAAWMQ%2F3HHQcjqP354%2Fs1600%2Fbukobasports.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Saba wakamatwa kwa tuhuma za ujambazi Z’bar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s72-c/mngulujuly152014.jpg)
watuhumiwa 25 wakamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ugaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s1600/mngulujuly152014.jpg)
Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu.Kufuatia tukio la mlipuko wa bomu siku ya tarehe 7/7/2014 majira ya saa 22.15 usiku katika mgahawa wa VAMA, eneo la Uzunguni Jijini Arusha, ambapo watu wanane walijeruhiwa, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa 25 kwa uchunguzi.Kufuatia uchunguzi huo kati yao watu sita watafikishwa mahakamani mapema iwezakanavyo. Watuhumiwa watakaofikishwa Mahakamani kwa tukio hilo ni: SHAABAN MUSSA MMASA @ JAMAL, Umri miaka 26...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iKklTQRdFHs/XuOgj_-2gqI/AAAAAAALtng/6bvdMD_H6CU8da__CoHKCO153VNRnhmOwCLcBGAsYHQ/s72-c/index%25281%2529.jpg)
TAKUKURU KUWAFIKISHA MAHAKAMANI WATUMISHI SABA TPA ,WAKILI WA KUJITEGEMA KWA TUHUMA ZA MAKOSA YA RUSHWA, UHUJUMU UCHUMI NA WIZI WA SH.BILIONI NANE
![](https://1.bp.blogspot.com/-iKklTQRdFHs/XuOgj_-2gqI/AAAAAAALtng/6bvdMD_H6CU8da__CoHKCO153VNRnhmOwCLcBGAsYHQ/s1600/index%25281%2529.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) pamoja na Wakili wa Kujitegemea kutoka Kampuni ya Mnengele &Associates na ELA Advocatee watafikishwa mahakamani wakati wowote kwa kushtakiwa kwa tuhuma za makosa ya rushwa na uhujumu uchumi.
Hayo yameelezwa leo Juni 12 mwaka 2020 na Kaimu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza Daud Ndyamukama kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari ambapo amefafanua watumishi hao tayari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bsue-*vlnnaVH*u*jsR3SMkhOEtaUm0*Lq2LAx1qWCfX2ROq43nMDQLQPCKN*Ev6Z2YgUnxLCf46mTHSsDwS5ilXvGYSC52g/thabombekileatherchair.jpg?width=650)
SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...