SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA
![](http://api.ning.com:80/files/Bsue-*vlnnaVH*u*jsR3SMkhOEtaUm0*Lq2LAx1qWCfX2ROq43nMDQLQPCKN*Ev6Z2YgUnxLCf46mTHSsDwS5ilXvGYSC52g/thabombekileatherchair.jpg?width=650)
Rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki. Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula, amesema rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki, ndiye aliyeruhusu ulipwaji wa dola milioni 10 kwa FIFA, hela ambazo sasa zinadaiwa zilikuwa rushwa. Serikali ya Afrika Kusini imekuwa ikisisitiza kwamba fedha hizo zilikuwa ni sehemu ya mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean lakini waendesha mashtaka wa Marekani...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi31 Jul
MARAIS WASTAAFU THABO MBEKI, FESTUS MOGAE NA BENJAMIN MKAPA WAKUTANA DAR ES SALAAM
![1a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1a2.jpg)
![2a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/2a2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1a2.jpg)
MARAIS WASTAAFU THABO MBEKI, FESTUS MOGAE NA BENJAMIN MKAPA WAKUTANA DAR ES SALAAM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTo4XjsjDWuyoiadHpyhARrrv67snMtzEJ29J*kWeo93LKN3dBGhfVslw5KKW9C7jlB4pxqPn8fDpGQ8PF8me*7/FIFA.jpg?width=650)
MAAFISA WA FIFA WAKAMATWA ZURICH KWA TUHUMA ZA RUSHWA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s72-c/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s640/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vqqdr1C2m4I/VWXa_UWJKBI/AAAAAAABPZw/PFNdnr68D7o/s640/2916BB2300000578-3098633-Six_high_ranking_FIFA_executives-a-86_1432706905792.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gwH3to2ZXp0/VWXa_ZWvsjI/AAAAAAABPZs/ueOw-9Hqi94/s640/2919C5CB00000578-3098633-image-a-112_1432708514643.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Mbeki atajwa kashfa ya Rushwa
10 years ago
StarTV06 Jun
Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA.
Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa .
Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean.
Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 .
Bwana Mbeki mwenyewe...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA
11 years ago
Habarileo15 Jun
Tuhuma za rushwa ni hisia tu-Wizara
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema tuhuma za rushwa zinazoambatanishwa na kazi ya usaili wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji ni hisia tu za wahusika.