Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeki atajwa kashfa ya Rushwa

Kashfa ya rushwa inayolikabili Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) imechukua sura mpya baada ya jana vyombo vya habari kubaini kuwa aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki na Waziri wake wa Mambo ya Nje, Nkosazana Dlamini-Zuma ndio walioidhinisha malipo ya Dola 10 milioni ili kuiwezesha nchi hiyo kupata tiketi ya kuandaa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA

Rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki. Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula, amesema rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki, ndiye aliyeruhusu ulipwaji wa dola milioni 10 kwa FIFA, hela ambazo sasa zinadaiwa zilikuwa rushwa. Serikali ya Afrika Kusini imekuwa ikisisitiza kwamba fedha hizo zilikuwa ni sehemu ya mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean lakini waendesha mashtaka wa Marekani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter azungumzia kashfa ya rushwa,Fifa

Rais wa FIFA Sepp Blatter ameibuka na kuzungumzia kashafa ya rushwa ndani ya shirikisho hilo kwa kusema wale wao watakaobainika kujihusisha na vitendo hivyo hawana tena ndani ya shirikisho hilo la Soka Duniani.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais wa CONMEBOL ajiuzuru, uchunguzi wa kashfa ya rushwa juu yake waendelea

napout

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Soka la Amerika Kusini (CONMEBOL), Juan Angel Napout (pichani) amejiuzulu nafasi yake ya urais huku uchunguzi ukiendelea kuhusu kuhusika na kashfa ya rushwa inayowakabili viongozi wa  Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).

Katika taarifa iliyotolewa na CONMEBOL ilisema kuwa Napout amejiuzulu nafasi yake ya urais na nafasi yake kukaimiwa kwa muda na Wilmar Valdez ambaye kwa sasa ni rais wa Soka wa Chama cha Uruguay (AUF) mpaka uchaguzi washrikisho...

 

9 years ago

StarTV

Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa

Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter

Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi  milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.

Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...

 

10 years ago

BBC

Mbeki 'used' prosecutor against Zuma

Former South African President Thabo Mbeki used the National Prosecution Authority as a political tool against President Jacob Zuma, court documents say.

 

11 years ago

BBC

Mbeki calls for Israel goods boycott

South Africa's ex-President Thabo Mbeki calls for a boycott of Israeli goods, saying Israel must "pay a price" for the conflict in Gaza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Barua yasema Mbeki na Blatter walikubaliana

Barua pepe iliopatikana na gazeti moja la Afrika kusini na kuonekana na BBC inatoa ushahidi zaidi kwamba aliyekuwa rais wa taifa hilo Thabo Mbeki na rais wa FIFA Sepp Blatter walikubaliana kuhusu kitita cha dola millioni kumi

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeki: Msiache kuenzi mema ya Mandela

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amejitokeza hadharani kwa mara ya kwanza tangu taifa likumbwe na msiba mzito wa kifo cha Nelson Mandela na kuzungumzia umahiri wa kiongozi huyo.

 

10 years ago

StarTV

Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA.

Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa .

Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean.

Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 .

Bwana Mbeki mwenyewe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani