Barua yasema Mbeki na Blatter walikubaliana
Barua pepe iliopatikana na gazeti moja la Afrika kusini na kuonekana na BBC inatoa ushahidi zaidi kwamba aliyekuwa rais wa taifa hilo Thabo Mbeki na rais wa FIFA Sepp Blatter walikubaliana kuhusu kitita cha dola millioni kumi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82060000/jpg/_82060428_82059525.jpg)
Mbeki 'used' prosecutor against Zuma
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Mbeki atajwa kashfa ya Rushwa
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mbeki: Msiache kuenzi mema ya Mandela
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76889000/jpg/_76889185_76888994.jpg)
Mbeki calls for Israel goods boycott
10 years ago
StarTV06 Jun
Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA.
Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa .
Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean.
Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 .
Bwana Mbeki mwenyewe...
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA
10 years ago
Citizen29 Apr
Mbeki conveys condolences on the passing of Tanzanian liberation icon
Citizen
Citizen
Former South African president Thabo Mbeki yesterday conveyed his condolences to the family and countrymen of Tanzanian liberation icon, the late Brigadier General Hashim Mbita, a former executive secretary of the Organisation of African Unity (OAU) ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bsue-*vlnnaVH*u*jsR3SMkhOEtaUm0*Lq2LAx1qWCfX2ROq43nMDQLQPCKN*Ev6Z2YgUnxLCf46mTHSsDwS5ilXvGYSC52g/thabombekileatherchair.jpg?width=650)
SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA