Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barua yasema Mbeki na Blatter walikubaliana

Barua pepe iliopatikana na gazeti moja la Afrika kusini na kuonekana na BBC inatoa ushahidi zaidi kwamba aliyekuwa rais wa taifa hilo Thabo Mbeki na rais wa FIFA Sepp Blatter walikubaliana kuhusu kitita cha dola millioni kumi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

10 years ago

BBC

Mbeki 'used' prosecutor against Zuma

Former South African President Thabo Mbeki used the National Prosecution Authority as a political tool against President Jacob Zuma, court documents say.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeki atajwa kashfa ya Rushwa

Kashfa ya rushwa inayolikabili Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) imechukua sura mpya baada ya jana vyombo vya habari kubaini kuwa aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki na Waziri wake wa Mambo ya Nje, Nkosazana Dlamini-Zuma ndio walioidhinisha malipo ya Dola 10 milioni ili kuiwezesha nchi hiyo kupata tiketi ya kuandaa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeki: Msiache kuenzi mema ya Mandela

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amejitokeza hadharani kwa mara ya kwanza tangu taifa likumbwe na msiba mzito wa kifo cha Nelson Mandela na kuzungumzia umahiri wa kiongozi huyo.

 

11 years ago

BBC

Mbeki calls for Israel goods boycott

South Africa's ex-President Thabo Mbeki calls for a boycott of Israeli goods, saying Israel must "pay a price" for the conflict in Gaza.

 

10 years ago

StarTV

Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA.

Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa .

Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean.

Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 .

Bwana Mbeki mwenyewe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA

Rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA ,fedha zilizozua utata

 

10 years ago

Citizen

Mbeki conveys condolences on the passing of Tanzanian liberation icon


Citizen
Mbeki conveys condolences on the passing of Tanzanian liberation icon
Citizen
Former South African president Thabo Mbeki yesterday conveyed his condolences to the family and countrymen of Tanzanian liberation icon, the late Brigadier General Hashim Mbita, a former executive secretary of the Organisation of African Unity (OAU) ...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA

Rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki. Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula, amesema rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki, ndiye aliyeruhusu ulipwaji wa dola milioni 10 kwa FIFA, hela ambazo sasa zinadaiwa zilikuwa rushwa. Serikali ya Afrika Kusini imekuwa ikisisitiza kwamba fedha hizo zilikuwa ni sehemu ya mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean lakini waendesha mashtaka wa Marekani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani