Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Blatter, Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka

Michel-PlatiniSepp-Blatte-001Platini (kushoto) akiwa na Blatter

Zurich, Uswisi
Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Fifa na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamekutwa na hatia katika sakata la rushwa na matumizi mabaya ya ofisi yaliyokuwa yakiwakabili na kila mmoja amefungiwa miaka 8 kutojihusisha na masuala yoyote yanayohusu mchezo wa soka.

PlatiniBlatter (kushoto) akiwa na Platini

Hukumu hiyo imetolewa na kamati ya maadili ya Fifa leo...

 

9 years ago

Mwananchi

Blatter, Platini wafungiwa miaka minane

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter na Rais wa Shirikisho la Soka Barani la Ulaya, Michel Platini wamefungiwa kutojihusisha na shughuli za soka kwa miaka minane kutokana na uchunguzi maalumu uliofanywa na Kamati ya Maadili ya Fifa. Baada ya uchunguzi huo walikutwa na hatia rushwa ya kutoa na kupokea rushwa inayokadiliwa kuwa Pauni 1.3 milioni za ‘malipo hewa’ yaliyofanywa na Fifa yakihizinishwa na Blatter kwenda kwa Platini mwaka 2011.

 

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter na Michel Platini wafungiwa miaka nane na FIFA

article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373

Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka 8 kufuatia kukutwa na kosa la ubadhilifu wa fedha na kupigwa faini.

article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373

Maamuzi hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu mjini Zurich, yamedhihirisha mwisho halisi wa uongozi wa soka kwa Blatter na Platini wote wakiwa hawana uwezo kugombea urais wa FIFA Februari 26.

Chombo cha upelelezi kilipendekeza kuwafungia maisha baada ya kuwepo na taarifa zisizo...

 

9 years ago

Mtanzania

Blatter, Platini kifungoni miaka nane

Sepp Blatter, left, and Michel Platini shortly after the former had been re-elected Fifa presidentZURICH, USWISI

RAIS wa Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA), Sepp Blatter na Rais wa Vyama vya Soka barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamefungiwa kujishirikisha katika soka kwa miaka nane.

Maamuzi hayo yametokea baada ya uchunguzi uliofanyika na kugundulika kwamba viongozi hao walijihusisha na rushwa ya pauni milioni 1.35 Februari 2011.

Kamati ya maadili ya shirikisho hilo ikiwa chini ya Mwenyekiti wake, Hans Joachim Eckert, imethibitisha kwamba Blatter na Platini wamefungiwa kushiriki...

 

9 years ago

BBC

Blatter, Platini 'should be sanctioned'

The Fifa panel investigating corruption allegations has called for sanctions to be taken against Sepp Blatter and Michel Platini.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa

Rais wa FIFA Sepp Blatter na rais wa UEFA Michel Platini wanachunguzwa na kamati ya nidhamu ya FIFA

 

9 years ago

Mtanzania

Rufaa ya Blatter, Platini zakataliwa

FIFA President Blatter addresses a news conference in ZurichZURICH, USWISI

RUFAA iliyokatwa na Rais wa Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA) aliyesimamishwa, Sepp Blatter pamoja na Rais wa Vyama vya Soka barani Ulaya ‘Uefa’ Michel Platini, kupinga kusimamishwa kwa siku 90 zimekataliwa na kamati ya rufaa ya shirikisho hilo.

Blatter na Platini walisimamishwa tangu Oktoba mwaka huu na kamati ya maadili ya Fifa kwa muda wa siku 90 kupisha uchunguzi juu ya tuhuma za rushwa zinazowakabili viongozi hao.

Blatter alianza kukumbwa na kashfa hiyo mara baada ya...

 

9 years ago

BBC

Blatter and Platini get lengthy bans

Fifa president Sepp Blatter and Uefa boss Michel Platini are banned for eight years following an ethics investigation.

 

9 years ago

Bongo5

Rufaa za Blatter, Platini zakataliwa

blatter1

Hatimaye rufaa iliyokatwa na Rais wa FIDA aliyesimamishwa Sepp Blatter pamoja na rais wa UEFA Michel Platini kupinga kusimamishwa kwa siku tisini, zimekataliwa na kamati ya rufaa ya shirikisho hilo la soka.

blatter1

Blatter na Platini, walisimamishwa mwezi Oktoba na kamati ya maadili ya FIFA kwa muda wa siku tisini kupisha uchunguzi juu ya tuhuma za rushwa zinazowakabili viongozi hao wa juu.

Wote wamekana makosa yao na sasa watakata rufaa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS)

Platini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani