Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa

Rais wa FIFA Sepp Blatter na rais wa UEFA Michel Platini wanachunguzwa na kamati ya nidhamu ya FIFA

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Blatter ampa Platini urais Fifa

sepp-blatter-fifaRAIS wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter, amesema anaamini Michel Platini ana nafasi kubwa ya kuwa rais wa shirikisho hilo.

Blatter mwenye umri wa miaka 79, alitangaza kujiuzulu wadhifa wake ikiwa ni siku nne tu mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa awamu ya tano, sababu za kutangaza kujiuzulu ni kutokana na kashfa ya rushwa.

Platini kwa sasa yupo kati ya watu watano ambao wanawania nafasi hiyo ya urais, ambapo uchaguzi utafanyika Februari 26 mwakani.

Hata hivyo, Platini na...

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA :Platini asema hatampinga Blatter

Michel Platini amewaambia wajumbe wa bara Uropa kuwa hatampinga Blatter katika uchaguzi wa urais wa FIFA mwakani

 

9 years ago

BBC

Fifa suspends Blatter, Platini & Valcke

Fifa provisionally suspends president Sepp Blatter, secretary general Jerome Valcke and Uefa chief Michel Platini for 90 days.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA: Blatter na Platini nje kwa mika 8

Rais wa FIFA Sepp Blatter na mwenyekiti wa UEFA Michel Platini, wamepigwa marufuku ya miaka 8 kufuatia kashfa ya ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter amekataa kujiuzulu asema Platini

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter,amekataa kata kata kujiuzulu kwa mjibu wa rais wa UEFA Michel Platini

 

9 years ago

TheCitizen

Blatter and Platini vow to fight 8-year ban from Fifa

Sepp Blatter and Michel Platini vowed to keep fighting FIFA in courts after being suspended for eight years over ethics violations on Monday.

 

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter na Michel Platini wafungiwa miaka nane na FIFA

article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373

Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka 8 kufuatia kukutwa na kosa la ubadhilifu wa fedha na kupigwa faini.

article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373

Maamuzi hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu mjini Zurich, yamedhihirisha mwisho halisi wa uongozi wa soka kwa Blatter na Platini wote wakiwa hawana uwezo kugombea urais wa FIFA Februari 26.

Chombo cha upelelezi kilipendekeza kuwafungia maisha baada ya kuwepo na taarifa zisizo...

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya maadili ya FIFA yataka Blatter na Platini wasimamishwe kazi kwa siku 90

Kamati ya maadili katika shirikisho la soka duniani FIFA imependekeza Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter asimamishwe kazi kwa siku 90, yeye pamoja na Rais wa UEFA Michel Platini ili kupisha uchunguzi wa ubadhilifu wa fedha wa wakati wa kipindi cha utawala wa Blatter. Wanachama wa kamati hiyo walikutana wiki hii baada […]

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika …

Baada ya uchnguzi wa kina kufanyika na wachunguzi wa shirikisho la soka ulimwenduni FIFA wameamua kutoa adhabu ya kuwafungia miaka nane kutojihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa soka ulimwenguni FIFA Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini. Blatter na Platini wamekumbana na adhabu hiyo baada ya kukutwa na […]

The post Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani