Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA:Blatter amekataa kujiuzulu asema Platini

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter,amekataa kata kata kujiuzulu kwa mjibu wa rais wa UEFA Michel Platini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

FIFA :Platini asema hatampinga Blatter

Michel Platini amewaambia wajumbe wa bara Uropa kuwa hatampinga Blatter katika uchaguzi wa urais wa FIFA mwakani

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa

Rais wa FIFA Sepp Blatter na rais wa UEFA Michel Platini wanachunguzwa na kamati ya nidhamu ya FIFA

 

9 years ago

Mtanzania

Blatter ampa Platini urais Fifa

sepp-blatter-fifaRAIS wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter, amesema anaamini Michel Platini ana nafasi kubwa ya kuwa rais wa shirikisho hilo.

Blatter mwenye umri wa miaka 79, alitangaza kujiuzulu wadhifa wake ikiwa ni siku nne tu mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa awamu ya tano, sababu za kutangaza kujiuzulu ni kutokana na kashfa ya rushwa.

Platini kwa sasa yupo kati ya watu watano ambao wanawania nafasi hiyo ya urais, ambapo uchaguzi utafanyika Februari 26 mwakani.

Hata hivyo, Platini na...

 

10 years ago

Mwananchi

Blatter kujiuzulu Fifa

Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.

 

9 years ago

BBC

Fifa suspends Blatter, Platini & Valcke

Fifa provisionally suspends president Sepp Blatter, secretary general Jerome Valcke and Uefa chief Michel Platini for 90 days.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA: Blatter na Platini nje kwa mika 8

Rais wa FIFA Sepp Blatter na mwenyekiti wa UEFA Michel Platini, wamepigwa marufuku ya miaka 8 kufuatia kashfa ya ufisadi.

 

9 years ago

TheCitizen

Blatter and Platini vow to fight 8-year ban from Fifa

Sepp Blatter and Michel Platini vowed to keep fighting FIFA in courts after being suspended for eight years over ethics violations on Monday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amesema kuwa atajiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.

 

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter na Michel Platini wafungiwa miaka nane na FIFA

article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373

Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka 8 kufuatia kukutwa na kosa la ubadhilifu wa fedha na kupigwa faini.

article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373

Maamuzi hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu mjini Zurich, yamedhihirisha mwisho halisi wa uongozi wa soka kwa Blatter na Platini wote wakiwa hawana uwezo kugombea urais wa FIFA Februari 26.

Chombo cha upelelezi kilipendekeza kuwafungia maisha baada ya kuwepo na taarifa zisizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani