FIFA:Blatter amekataa kujiuzulu asema Platini
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter,amekataa kata kata kujiuzulu kwa mjibu wa rais wa UEFA Michel Platini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
FIFA :Platini asema hatampinga Blatter
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Blatter ampa Platini urais Fifa
RAIS wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter, amesema anaamini Michel Platini ana nafasi kubwa ya kuwa rais wa shirikisho hilo.
Blatter mwenye umri wa miaka 79, alitangaza kujiuzulu wadhifa wake ikiwa ni siku nne tu mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa awamu ya tano, sababu za kutangaza kujiuzulu ni kutokana na kashfa ya rushwa.
Platini kwa sasa yupo kati ya watu watano ambao wanawania nafasi hiyo ya urais, ambapo uchaguzi utafanyika Februari 26 mwakani.
Hata hivyo, Platini na...
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Blatter kujiuzulu Fifa
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/E125/production/_85973675_seppblatter_getty.jpg)
Fifa suspends Blatter, Platini & Valcke
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
FIFA: Blatter na Platini nje kwa mika 8
9 years ago
TheCitizen22 Dec
Blatter and Platini vow to fight 8-year ban from Fifa
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu
9 years ago
Bongo521 Dec
Sepp Blatter na Michel Platini wafungiwa miaka nane na FIFA
![article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373-300x194.jpg)
Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka 8 kufuatia kukutwa na kosa la ubadhilifu wa fedha na kupigwa faini.
Maamuzi hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu mjini Zurich, yamedhihirisha mwisho halisi wa uongozi wa soka kwa Blatter na Platini wote wakiwa hawana uwezo kugombea urais wa FIFA Februari 26.
Chombo cha upelelezi kilipendekeza kuwafungia maisha baada ya kuwepo na taarifa zisizo...