Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter kujiuzulu Fifa

Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amesema kuwa atajiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter amekataa kujiuzulu asema Platini

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter,amekataa kata kata kujiuzulu kwa mjibu wa rais wa UEFA Michel Platini

 

9 years ago

BBCSwahili

Blatter akataa kujiuzulu

Rais wa shirikisho la kandada duniani FIFA Sepp Blatter amekataa wito kutoka kwa baadhi ya wafadhili wa kumtaka ajiuzulu

 

10 years ago

GPL

BLATTER AJIUZULU FIFA

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...

 

9 years ago

BBC

Blatter appeals against Fifa ban

Fifa president Sepp Blatter appeals against the decision to ban him while corruption allegations are investigated.

 

9 years ago

Mtanzania

Hayatou amrithi Blatter Fifa

1162604_full-prtZURICH, USWISI

RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Issa Hayatou, ameteuliwa kuongoza Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kwa muda baada ya rais wa sasa, Sepp Blatter,kusimamishwa kazi.

Hayatou raia wa Cameroon, amefungua historia mpya barani Afrika kwa kiongozi wa soka barani humu kupata nafasi ya juu kuongoza shirikisho hilo.

Blatter alisimamishwa kazi juzi usiku na Kamati ya Maadili ya Fifa kwa siku 90 (miezi mitatu) sambamba na Katibu Mkuu, Jerome Valcke na Makamu wa Rais, Michel...

 

10 years ago

BBC

Fifa re-elects Blatter president

Fifa re-elects Sepp Blatter president as his rival withdraws after the first round of a vote overshadowed by allegations of corruption in world football.

 

9 years ago

BBC

Blatter faces suspension by Fifa

Fifa president Sepp Blatter faces a 90-day provisional suspension after an investigation by the governing body's ethics committee.

 

9 years ago

BBCSwahili

Blatter asema hatojiuzulu FIFA

Rais wa shrikisho la soka duniani Sepp Blatter amesema kuwa hatojiuzulu wadhfa wake licha ya mashtaka ya uhalifu yanayofungiliwa dhidi yake na wachunguzi wa Uswizi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani