Sepp Blatter na Michel Platini wafungiwa miaka nane na FIFA
Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka 8 kufuatia kukutwa na kosa la ubadhilifu wa fedha na kupigwa faini.
Maamuzi hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu mjini Zurich, yamedhihirisha mwisho halisi wa uongozi wa soka kwa Blatter na Platini wote wakiwa hawana uwezo kugombea urais wa FIFA Februari 26.
Chombo cha upelelezi kilipendekeza kuwafungia maisha baada ya kuwepo na taarifa zisizo...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika …
Baada ya uchnguzi wa kina kufanyika na wachunguzi wa shirikisho la soka ulimwenduni FIFA wameamua kutoa adhabu ya kuwafungia miaka nane kutojihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa soka ulimwenguni FIFA Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini. Blatter na Platini wamekumbana na adhabu hiyo baada ya kukutwa na […]
The post Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Blatter, Platini wafungiwa miaka minane
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Blatter, Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka
Platini (kushoto) akiwa na Blatter
Zurich, Uswisi
Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Fifa na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamekutwa na hatia katika sakata la rushwa na matumizi mabaya ya ofisi yaliyokuwa yakiwakabili na kila mmoja amefungiwa miaka 8 kutojihusisha na masuala yoyote yanayohusu mchezo wa soka.
Blatter (kushoto) akiwa na Platini
Hukumu hiyo imetolewa na kamati ya maadili ya Fifa leo...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Blatter, Platini kifungoni miaka nane
ZURICH, USWISI
RAIS wa Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA), Sepp Blatter na Rais wa Vyama vya Soka barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamefungiwa kujishirikisha katika soka kwa miaka nane.
Maamuzi hayo yametokea baada ya uchunguzi uliofanyika na kugundulika kwamba viongozi hao walijihusisha na rushwa ya pauni milioni 1.35 Februari 2011.
Kamati ya maadili ya shirikisho hilo ikiwa chini ya Mwenyekiti wake, Hans Joachim Eckert, imethibitisha kwamba Blatter na Platini wamefungiwa kushiriki...
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Sepp Blatter na Platini wasimamishwa kazi
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Michel Platini kuwania urais wa FIFA
9 years ago
Bongo514 Nov
FIFA yawaondoa Musa Bility na Michel Platini katika kinyang’anyiro cha Urais
![platini-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/platini-1-300x194.jpg)
Kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka duniani FIFA, imeondoa majina mawili katika kinyang’anyiro cha Urais.
Mmoja wa waliondolewa ni Musa Bility ambaye ni Rais wa chama cha soka cha nchini Liberia. Kamati hiyo imemuondoa Bility kwa sababu za uadilifu baada ya kumchunguza na kujiridhisha kuwa hana sifa ya kubaki kuwa mgombea wa Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika February 26 mwaka huu.
Mwingine aliyeondolewa katika kinyang’anyiro hicho ni Rais wa UEFA Michel Platini.
Platini...
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa