Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa
Rais Fifa Sepp Blatter amehojiwa na afisi yake kupekuliwa na viongozi wa mashtaka nchini Uswizi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu
9 years ago
Bongo507 Dec
Sepp Blatter achunguzwa na FBI kuhusiana na hongo ya $100m
![2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803-300x194.jpg)
Kipindi maalumu cha uchunguzi kinachojulikana kama BBC Panorama, kimeonesha ushahidi kwamba rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa muda, anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani, FBI.
Kuna kampuni ya masoko ya michezo inayoaminika kulipa mamilioni ya dola za Kimarekani kwa maafisa waandamizi wa FIFA katika miaka ya mwishoni mwa 1990 ili kupewa haki ya kutangaza michuano ya kombe la dunia.
Aliyekuwa ameshikia nafasi hiyo kabla ya Blatter, Joao Havelange, alikuwa ni miongoni mwa...
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Fifa: Sepp Blatter kung’atuka Desemba
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-v9Wwq3ayhKU/VW8r6mpRq_I/AAAAAAAAB5c/j561VoJAXTU/s72-c/blatter.jpg)
SEPP BLATTER NA MAOFISA SABA WA FIFA MATATANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-v9Wwq3ayhKU/VW8r6mpRq_I/AAAAAAAAB5c/j561VoJAXTU/s400/blatter.jpg)
Rais huyo ambaye alipewa madaraka ya kuongoza Shirikisho hilo siku chache zilizopita ikiwa ni awamu ya tano, kingine kilichochukua Headlines kwa sasa ni ishu ya Sepp Blatter kufanyiwa uchunguzi na maafisa wa Marekani ili kujua kama anahusika na tuhuma za rushwa ambazo zinawahusu maafisa wengine saba wa FIFA.Hata...
9 years ago
Bongo509 Oct
Issa Hayatou achukua nafasi Sepp Blatter FIFA
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s72-c/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s400/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7zsaeBgLMw/VW3retfdFmI/AAAAAAAAB4M/4VXz4CMEQe0/s640/CGGF8qHWIAAPXh4.jpg)
9 years ago
Bongo521 Dec
Sepp Blatter na Michel Platini wafungiwa miaka nane na FIFA
![article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373-300x194.jpg)
Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka 8 kufuatia kukutwa na kosa la ubadhilifu wa fedha na kupigwa faini.
Maamuzi hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu mjini Zurich, yamedhihirisha mwisho halisi wa uongozi wa soka kwa Blatter na Platini wote wakiwa hawana uwezo kugombea urais wa FIFA Februari 26.
Chombo cha upelelezi kilipendekeza kuwafungia maisha baada ya kuwepo na taarifa zisizo...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika …
Baada ya uchnguzi wa kina kufanyika na wachunguzi wa shirikisho la soka ulimwenduni FIFA wameamua kutoa adhabu ya kuwafungia miaka nane kutojihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa soka ulimwenguni FIFA Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini. Blatter na Platini wamekumbana na adhabu hiyo baada ya kukutwa na […]
The post Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika … appeared first on TZA_MillardAyo.