Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sepp Blatter achunguzwa na FBI kuhusiana na hongo ya $100m

2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803

Kipindi maalumu cha uchunguzi kinachojulikana kama BBC Panorama, kimeonesha ushahidi kwamba rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa muda, anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani, FBI.

2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803

Kuna kampuni ya masoko ya michezo inayoaminika kulipa mamilioni ya dola za Kimarekani kwa maafisa waandamizi wa FIFA katika miaka ya mwishoni mwa 1990 ili kupewa haki ya kutangaza michuano ya kombe la dunia.

Aliyekuwa ameshikia nafasi hiyo kabla ya Blatter, Joao Havelange, alikuwa ni miongoni mwa...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Blatter achunguzwa na FBI kuhusu hongo ya $100m

Rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamsishwa kwa muda anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani FBI kuhusiana na rushwa ya $100m, uchunguzi wa BBC umebaini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa

Rais Fifa Sepp Blatter amehojiwa na afisi yake kupekuliwa na viongozi wa mashtaka nchini Uswizi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sepp Blatter akwezwa

Rais wa shirikisho la soka duniani Sepp Blatter amefananishwa na manabii waliopita,hayati Nelson Mandela na Winston Churchill

 

9 years ago

TheCitizen

Sepp Blatter’s survival in doubt

After powerful FIFA sponsors demanded his immediate resignation, a key question surrounded Sepp Blatter on Saturday: can the sleaze-tainted president of world football’s governing body survive until his planned departure in February?

 

9 years ago

BBCSwahili

Sepp Blatter na Platini wasimamishwa kazi

Shirikisho la soka duniani Fifa limemsimamisha kazi kwa mda rais wake Sepp Blatter ,katibu wake Jerome Valcke na makamu wa rais Michel Platini kwa siku tisini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je Sepp Blatter ataibuka mshindi tena?

Rais wa shirikisho la soka duniani Fifa, Sepp Blatter na mahasimu wake kwenye kinyang'anyiro cha Urais Fifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amesema kuwa atajiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sepp Blatter apata mshindani mkali

Makamu wa Rais wa shirikisho la soka duniani, Mwanamfalme Ali Bin Al Hussein wa Jordan, amesema kuwa atamenyana na Sepp Blatter kuwania urais wa shirikisho hilo.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: How Sepp Blatter charmed Africa

Sepp Blatter has been re-elected as president of football's world governing body, despite widespread allegations of corruption at FIFA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani