Sepp Blatter achunguzwa na FBI kuhusiana na hongo ya $100m
Kipindi maalumu cha uchunguzi kinachojulikana kama BBC Panorama, kimeonesha ushahidi kwamba rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa muda, anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani, FBI.
Kuna kampuni ya masoko ya michezo inayoaminika kulipa mamilioni ya dola za Kimarekani kwa maafisa waandamizi wa FIFA katika miaka ya mwishoni mwa 1990 ili kupewa haki ya kutangaza michuano ya kombe la dunia.
Aliyekuwa ameshikia nafasi hiyo kabla ya Blatter, Joao Havelange, alikuwa ni miongoni mwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Blatter achunguzwa na FBI kuhusu hongo ya $100m
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Sepp Blatter akwezwa
9 years ago
TheCitizen05 Oct
Sepp Blatter’s survival in doubt
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Sepp Blatter na Platini wasimamishwa kazi
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Je Sepp Blatter ataibuka mshindi tena?
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Sepp Blatter apata mshindani mkali
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83315000/jpg/_83315036_83313683.jpg)
VIDEO: How Sepp Blatter charmed Africa