Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michel Platini kuwania urais wa FIFA

Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini ametangaza azma yake ya kuwania urais wa shirikisho la soka duniani FIFA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

FIFA yawaondoa Musa Bility na Michel Platini katika kinyang’anyiro cha Urais

platini-1

Kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka duniani FIFA, imeondoa majina mawili katika kinyang’anyiro cha Urais.

bility-11

Mmoja wa waliondolewa ni Musa Bility ambaye ni Rais wa chama cha soka cha nchini Liberia. Kamati hiyo imemuondoa Bility kwa sababu za uadilifu baada ya kumchunguza na kujiridhisha kuwa hana sifa ya kubaki kuwa mgombea wa Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika February 26 mwaka huu.

Mwingine aliyeondolewa katika kinyang’anyiro hicho ni Rais wa UEFA Michel Platini.

platini-1

Platini...

 

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter na Michel Platini wafungiwa miaka nane na FIFA

article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373

Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka 8 kufuatia kukutwa na kosa la ubadhilifu wa fedha na kupigwa faini.

article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373

Maamuzi hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu mjini Zurich, yamedhihirisha mwisho halisi wa uongozi wa soka kwa Blatter na Platini wote wakiwa hawana uwezo kugombea urais wa FIFA Februari 26.

Chombo cha upelelezi kilipendekeza kuwafungia maisha baada ya kuwepo na taarifa zisizo...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika …

Baada ya uchnguzi wa kina kufanyika na wachunguzi wa shirikisho la soka ulimwenduni FIFA wameamua kutoa adhabu ya kuwafungia miaka nane kutojihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa soka ulimwenguni FIFA Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini. Blatter na Platini wamekumbana na adhabu hiyo baada ya kukutwa na […]

The post Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Platini kuwania uongozi wa FIFA

Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini anatarajiwa kutangaza azma yake ya kuwania urais wa FIFA baadaye wiki hii.

 

9 years ago

Mtanzania

Blatter ampa Platini urais Fifa

sepp-blatter-fifaRAIS wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter, amesema anaamini Michel Platini ana nafasi kubwa ya kuwa rais wa shirikisho hilo.

Blatter mwenye umri wa miaka 79, alitangaza kujiuzulu wadhifa wake ikiwa ni siku nne tu mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa awamu ya tano, sababu za kutangaza kujiuzulu ni kutokana na kashfa ya rushwa.

Platini kwa sasa yupo kati ya watu watano ambao wanawania nafasi hiyo ya urais, ambapo uchaguzi utafanyika Februari 26 mwakani.

Hata hivyo, Platini na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Michel Platini aitupia lawama UEFA

Michel Platini ameitupia lawama UEFA,na kusema walikuwa wanalala usingizi kwa miaka 4 kabla ya kumzuia kujishughulisha na soka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa zamani kuwania urais Fifa

Mchezaji wa zamani wa Ufaransa,David Ginola kupambana na Sepp Blatter urais Fifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Zico Coimbra kuwania urais FIFA

Huku kukiwa bado hali si shwari ndani ya FIFA, mchezaji wa zamani wa Brazil Zico Coimbra atagombea urais wa shirikisho hilo

 

9 years ago

BBCSwahili

Vigogo saba kuwania urais Fifa

Majina ya viongozi saba watakaowania urais wa shirikisho la kandanda duniani Fifa yametangazwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani