Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zico Coimbra kuwania urais FIFA

Huku kukiwa bado hali si shwari ndani ya FIFA, mchezaji wa zamani wa Brazil Zico Coimbra atagombea urais wa shirikisho hilo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vigogo saba kuwania urais Fifa

Majina ya viongozi saba watakaowania urais wa shirikisho la kandanda duniani Fifa yametangazwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Bility azuiwa kuwania urais Fifa

Raia wa Liberia Musa Bility ameondolewa kutoka kwenye kinyang’anyiro cha kuwania urais wa Fifa kwa sababu ya maadili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa zamani kuwania urais Fifa

Mchezaji wa zamani wa Ufaransa,David Ginola kupambana na Sepp Blatter urais Fifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Gianni Infantino kuwania urais Fifa

Gianni Infantino amejitosa kwenye kinyanganyiro cha uraid Fifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Michel Platini kuwania urais wa FIFA

Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini ametangaza azma yake ya kuwania urais wa shirikisho la soka duniani FIFA.

 

10 years ago

BBCSwahili

Luis Figo atangaza kuwania urais FIFA

Mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ureno, Luis Figo ametangaza kuwania urais wa FIFA.

 

9 years ago

Mtanzania

Bility akata rufaa ya kumzuia kuwania urais FIFA

Musa BilityZURICH, USWIS

RAIS wa Shirikisho la Soka la Liberia, Musa Bility, amekata rufaa kwenye mahakama ya kutatua mizozo ya michezo (Cas), kwa kumzuia kugombea urais wa Shirikisho la Soka Duniani, Fifa.

Rais huyo alizuiwa kuwania kugombea nafasi hiyo na kamati ya uchaguzi ya Fifa kwa madai kwamba hakupita vigezo vya maadili.

Hata hivyo, Bility ameishangaa kamati hiyo kwa maelezo yake ambapo amedai kuwa haijatenda haki, ila kutakuwa na mipango ambayo imepangwa ili kutaka kumharibia.

“Uamuzi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani