Bility akata rufaa ya kumzuia kuwania urais FIFA
ZURICH, USWIS
RAIS wa Shirikisho la Soka la Liberia, Musa Bility, amekata rufaa kwenye mahakama ya kutatua mizozo ya michezo (Cas), kwa kumzuia kugombea urais wa Shirikisho la Soka Duniani, Fifa.
Rais huyo alizuiwa kuwania kugombea nafasi hiyo na kamati ya uchaguzi ya Fifa kwa madai kwamba hakupita vigezo vya maadili.
Hata hivyo, Bility ameishangaa kamati hiyo kwa maelezo yake ambapo amedai kuwa haijatenda haki, ila kutakuwa na mipango ambayo imepangwa ili kutaka kumharibia.
“Uamuzi wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Bility akata rufaa uamuzi wa kumzuia kuwania Fifa
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Bility azuiwa kuwania urais Fifa
9 years ago
Bongo514 Nov
FIFA yawaondoa Musa Bility na Michel Platini katika kinyang’anyiro cha Urais

Kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka duniani FIFA, imeondoa majina mawili katika kinyang’anyiro cha Urais.
Mmoja wa waliondolewa ni Musa Bility ambaye ni Rais wa chama cha soka cha nchini Liberia. Kamati hiyo imemuondoa Bility kwa sababu za uadilifu baada ya kumchunguza na kujiridhisha kuwa hana sifa ya kubaki kuwa mgombea wa Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika February 26 mwaka huu.
Mwingine aliyeondolewa katika kinyang’anyiro hicho ni Rais wa UEFA Michel Platini.
Platini...
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Vigogo saba kuwania urais Fifa
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Mchezaji wa zamani kuwania urais Fifa
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Michel Platini kuwania urais wa FIFA
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Zico Coimbra kuwania urais FIFA
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Luis Figo atangaza kuwania urais FIFA