Bility akata rufaa uamuzi wa kumzuia kuwania Fifa
Mkuu wa shirikisho la soka la Liberia, Musa Bility, amekata rufaa uamuzi wa kuzuia kuwania uchaguzi wa urais Fifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Bility akata rufaa ya kumzuia kuwania urais FIFA
ZURICH, USWIS
RAIS wa Shirikisho la Soka la Liberia, Musa Bility, amekata rufaa kwenye mahakama ya kutatua mizozo ya michezo (Cas), kwa kumzuia kugombea urais wa Shirikisho la Soka Duniani, Fifa.
Rais huyo alizuiwa kuwania kugombea nafasi hiyo na kamati ya uchaguzi ya Fifa kwa madai kwamba hakupita vigezo vya maadili.
Hata hivyo, Bility ameishangaa kamati hiyo kwa maelezo yake ambapo amedai kuwa haijatenda haki, ila kutakuwa na mipango ambayo imepangwa ili kutaka kumharibia.
“Uamuzi wa...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Akata rufaa kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kumfungia mwaka mmoja CCM
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Bility azuiwa kuwania urais Fifa
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
9 years ago
Habarileo30 Aug
Mgombea Chadema akata rufaa
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa jimbo la uchaguzi la Ludewa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bartholomew Msambichaka, amekata rufaa Tume ya Uchaguzi (NEC) kupinga pingamizi alilowekewa akidaiwa kutorudisha fomu namba 10.
10 years ago
Habarileo27 Feb
Chenge akwama, akata rufaa
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ameendelea kupambana ili Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, lisiendelee kusikiliza shauri lake, licha ya pingamizi lake kutupiliwa mbali jana.
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Pistorius:Kiongozi wa mashitaka akata rufaa
10 years ago
Mtanzania27 Feb
Chenge akata rufaa Mahakama Kuu
Patricia Kimelemeta na Aziza Masoud
BARAZA la Maadili la Utumishi wa Umma jana lilikwama kuendelea na mahojiano na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM).
Baraza hilo lilishindwa kuendelea na kazi yake hiyo baada ya Chenge kukata rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga uamuzi wa Baraza hilo kuendelea kujadili tuhuma zinazomkabili.
bilioni 1.6 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Tanzania Ltd, James Rugemalira, kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow.
Kabla ya...
10 years ago
GPLCHENGE AKATA RUFAA TUME YA MAADILI