Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHENGE AKATA RUFAA TUME YA MAADILI

Mh.Andrew Chenge akitoa ufafanuzi mbele ya Mwenyekiti wa Tume ya Maadili Jaji Hamis Masami. Baadhi ya viongozi wa Tume ya Maadili sambamba na wanahabari  katika chumba cha mahohojiano.
MHESHIMIWA Mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge anayetuhumiwa kwa kashfa ya Escrow jana amekata rufaa mbele ya ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chenge akwama, akata rufaa

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa. Anna Tibaijuka akisalimiana na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge baada ya kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kuhusu sakata la Escrow, Dar es Salaam jana.MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ameendelea kupambana ili Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, lisiendelee kusikiliza shauri lake, licha ya pingamizi lake kutupiliwa mbali jana.

 

10 years ago

Mtanzania

Chenge akata rufaa Mahakama Kuu

CHENGEPatricia Kimelemeta na Aziza Masoud
BARAZA la Maadili la Utumishi wa Umma jana lilikwama kuendelea na mahojiano na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM).
Baraza hilo lilishindwa kuendelea na kazi yake hiyo baada ya Chenge kukata rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga uamuzi wa Baraza hilo kuendelea kujadili tuhuma zinazomkabili.
bilioni 1.6 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Tanzania Ltd, James Rugemalira, kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow.
Kabla ya...

 

10 years ago

StarTV

Chenge akata rufaa mahakama kuu, akataa kuhojiwa.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar Es Salaam.

 

Baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge kugoma kuhojiwa na sekratarieti ya maadili ya viongozi wa umma kuhusiana na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, Mbunge huyo sasa amekimbilia mahakama kuu ili kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa sekretarieti hiyo wa kutaka kumhoji.

Chenge ambaye ni kiongozi wa kwanza kuitwa kuhojiwa na tume hiyo kwa tuhuma za kuhusishwa kwenye kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow amehoji pia uwezo wa wanasheria wa...

 

9 years ago

Habarileo

Mgombea Chadema akata rufaa

ALIYEKUWA mgombea ubunge wa jimbo la uchaguzi la Ludewa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bartholomew Msambichaka, amekata rufaa Tume ya Uchaguzi (NEC) kupinga pingamizi alilowekewa akidaiwa kutorudisha fomu namba 10.

 

10 years ago

BBCSwahili

Akata rufaa dhidi ya hukumu ya ushoga

Kiongozi wa upinzani nchini Malaysia, Anwar Ibrahim, amefika mahakamani ili kukata rufaa dhidi ya hukumu inayomkabili ya ushoga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pistorius:Kiongozi wa mashitaka akata rufaa

Jaji anayesikiliza kesi ya mwanariadha mlemavu Oscar Pistorius, ameahirisha uamuzi wake ikiwa ataruhusu mwendesha mashtaka kukata rufaa ya kuhusu uamuzi wake na hukumu iiyotolewa.

 

10 years ago

CloudsFM

Faiza Akata Rufaa Dhidi ya Ushindi wa Sugu

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally aliyekuwa mchumba wa mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’  amekata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa hivi juzi ambayo ilimpa ushindi Sugu na hivyo kumchukua mtoto (Sasha) baada ya Faiza kuonekana kuwa ana muharibu mtoto kutokana na tabia zake ususani mavazi.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Faiza mbali na kuelezea rufaa yake ameeleze pia masikitiko yake kutokana na baadhi ya watu kumshabulia kwa maneno makali  juu ya mavazi yake...

 

11 years ago

GPL

Wambura kama kawa, akata rufaa tena TFF

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura.
Na Waandishi Wetu
MGOMBEA wa nafasi ya urais kwenye Klabu ya Simba, Michael Wambura, ameonyesha kuwa yeye ni kiboko yao baada ya kukata tena rufaa kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Wambura aliwasilisha rufaa yake kwenye Kamati ya Rufaa ya TFF, jana, akipiga kitendo cha kuondolewa na Kamati ya Uchaguzi ya Simba kwa madai kuwa alipiga kampeni kabla ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bility akata rufaa uamuzi wa kumzuia kuwania Fifa

Mkuu wa shirikisho la soka la Liberia, Musa Bility, amekata rufaa uamuzi wa kuzuia kuwania uchaguzi wa urais Fifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani