Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chenge akata rufaa mahakama kuu, akataa kuhojiwa.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar Es Salaam.

 

Baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge kugoma kuhojiwa na sekratarieti ya maadili ya viongozi wa umma kuhusiana na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, Mbunge huyo sasa amekimbilia mahakama kuu ili kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa sekretarieti hiyo wa kutaka kumhoji.

Chenge ambaye ni kiongozi wa kwanza kuitwa kuhojiwa na tume hiyo kwa tuhuma za kuhusishwa kwenye kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow amehoji pia uwezo wa wanasheria wa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Chenge akata rufaa Mahakama Kuu

CHENGEPatricia Kimelemeta na Aziza Masoud
BARAZA la Maadili la Utumishi wa Umma jana lilikwama kuendelea na mahojiano na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM).
Baraza hilo lilishindwa kuendelea na kazi yake hiyo baada ya Chenge kukata rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga uamuzi wa Baraza hilo kuendelea kujadili tuhuma zinazomkabili.
bilioni 1.6 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Tanzania Ltd, James Rugemalira, kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow.
Kabla ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbowe akata rufaa mahakama kuu dhidi ya hukumu yake

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amekata rufaa Mahakama Kuu kupinga hukumu iliyotolewa dhidi yake Julai, mwaka huu, na kumtoza faini ya Sh1 milioni baada ya kupatikana na hatia katika kosa la jinai.

 

10 years ago

Mtanzania

Chenge akataa jumla kuhojiwa Escrow

chengeNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutoa zuio la kudumu kwa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma na Baraza la Maadili ya Viongozi kuendelea kushughulikia lalamiko lolote la kimaadili dhidi yake linalotokana na ripoti ya CAG na PAC.
Malalamiko yaliyowasilishwa katika baraza hilo ni tuhuma za kupokea fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Chenge kupitia...

 

10 years ago

Habarileo

Chenge akwama, akata rufaa

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa. Anna Tibaijuka akisalimiana na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge baada ya kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kuhusu sakata la Escrow, Dar es Salaam jana.MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ameendelea kupambana ili Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, lisiendelee kusikiliza shauri lake, licha ya pingamizi lake kutupiliwa mbali jana.

 

10 years ago

GPL

CHENGE AKATA RUFAA TUME YA MAADILI

Mh.Andrew Chenge akitoa ufafanuzi mbele ya Mwenyekiti wa Tume ya Maadili Jaji Hamis Masami. Baadhi ya viongozi wa Tume ya Maadili sambamba na wanahabari  katika chumba cha mahohojiano.
MHESHIMIWA Mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge anayetuhumiwa kwa kashfa ya Escrow jana amekata rufaa mbele ya ya…

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.

 Mhe. John Lugalema  Kahyoza akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufaa mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali mhe. Kahyoza alikuwaMsajili Mahakama Kuu ya Tanzania. Mhe. Katarina Tengia Revocati akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili Mkuu  wa Mahakama  mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali  Mhe. Katarina alikuwa Msajili wa Mahakama ya rufani.Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Chenge akwaa kisiki Escrow, Akimbilia Mahakama Kuu.

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, jana ‘alikwaa kisiki’ baada ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kutupilia mbali pingamizi lake aliloliwasilisha juzi kuzuia kusikilizwa kwa shauri lake kuhusiana na tuhuma za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma.

Pamoja na mambo mengine, Chenge, ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, anatuhumiwa kwa kujipatia mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka abishana dakika 415, Chenge aenda Mahakama Kuu

Wakati Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka jana alitumia dakika 415 (takribani saa 7) akibishana katika mpambano mkali wa kisheria kuhusika kwake katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow

 

10 years ago

Mtanzania

Kibatala kukata rufaa, aipinga Mahakama Kuu

Bunge

Bunge

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WAKILI Peter Kibataka anatarajia kukata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kusema kwamba haina mamlaka ya kuingilia marekebisho yanatayofanywa na Bunge Maalum la Katiba katika rasimu.

Kibatala alidai hayo kupitia taarifa yake aliyoitoa jana kupitia mtandao wa kijamii wa facebook ambapo alidai anatarajia kukatia rufaa sehemu ya uamuzi wa mahakama hiyo inayosema kwamba pamoja na kwamba Bunge Maalumu la Katiba lina mipaka na linatakiwa kutekeleza mamlaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani