RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s72-c/Jaji%2B01.jpg)
Mhe. John Lugalema Kahyoza akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufaa mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali mhe. Kahyoza alikuwaMsajili Mahakama Kuu ya Tanzania.
Mhe. Katarina Tengia Revocati akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali Mhe. Katarina alikuwa Msajili wa Mahakama ya rufani.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mdwNdA7BDs0/VK5-HWuiFmI/AAAAAAAG7_g/N4IM6TjIpi8/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Rais Kikwete amwapisha Msajili wa Mahakama ya Rufaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-mdwNdA7BDs0/VK5-HWuiFmI/AAAAAAAG7_g/N4IM6TjIpi8/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fM-bXwiwN0c/VK5-HKXM0aI/AAAAAAAG7_c/hrSKVSdoq7Y/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Rais Kikwete awaapisha Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wapya 20 Ikulu Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-8hUjrpYtzm0/U-4CfAO4p-I/AAAAAAAF_zc/IxgdEk2gKF0/s1600/ji1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Panterine Muliis Kente kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika sherehe zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 15, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-maUqDhCZIbA/U-4C3m-hcMI/AAAAAAAF_00/hmlgDKn5aXc/s1600/j2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Benedict Bartholomew Mwingwa kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika sherehe zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 15, 2014.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYWhth6Fkw4/U-4DCFbhgVI/AAAAAAAF_18/UoQi0kONJM0/s1600/j3.jpg)
Rais jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Dkt Eliezer Mbuki Feleshi kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCLBtjYr8i4NZH2B44CkX5mePpXR12krdB5KtmU2FZA*oUYrZZe3libsauba9D2fx6gpeykUpejwK-oAJqCo7pZI/JK2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAJAJI WAPYA 20 WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2Kr38cTIu6E/U-4C6dgLZ2I/AAAAAAAF_1E/RmEWLnqmino/s72-c/j21.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAPYA 20 IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2Kr38cTIu6E/U-4C6dgLZ2I/AAAAAAAF_1E/RmEWLnqmino/s1600/j21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HpmOYLptCOM/U-4C6o0_NMI/AAAAAAAF_1I/-cxbbN0rloA/s1600/j22.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Msajili Mahakama Kuu ashtushwa na kesi IPTL
10 years ago
VijimamboJK AMUAPISHA MSAJILI MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA, NI KATARINA REVOCATI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s72-c/Untitled1.png)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA RASMI MAJAJI WATEULE WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s640/Untitled1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kigIZMdolpQ/VYCGYp76AgI/AAAAAAAHgJM/hmXEpD-RSoU/s640/Untitled2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2oSX-yM_w2U/VYCGZEdUdsI/AAAAAAAHgJQ/3PB170Cz6YQ/s640/Untitled3.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jJnZk_-W1PU/VcJPTwOMnKI/AAAAAAAHuaw/D61P6h6ota0/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
Rais Kikwete awaapisha Majaji 14 akiwamo Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-jJnZk_-W1PU/VcJPTwOMnKI/AAAAAAAHuaw/D61P6h6ota0/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.
Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10