Rais Kikwete amwapisha Msajili wa Mahakama ya Rufaa
.jpg)
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Msajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi muongozo wa kazi Msajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati ikulu jijini Dar es Salaam leo.(Picha na Freddy Maro).
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.



10 years ago
Dewji Blog01 May
Rais Kikwete ateua Majaji wawili wa Mahakama ya Rufaa
Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua Majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani kuanzia Jumamosi iliyopita, Aprili 24, 2015, taarifa iliyotolewa Dar es Salaam, jana, Alhamisi, Aprili 30, 2025 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) imesema.
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
10 years ago
Vijimambo01 May
RAIS KIKWETE ATEUA MAJAJI WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua Majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani kuanzia Jumamosi iliyopita, Aprili 24, 2015, taarifa iliyotolewa Dar es Salaam, jana Alhamisi, Aprili 30, 2015 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) imesema.
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
10 years ago
StarTV03 Dec
Rais Kikwete amwapisha rasmi CAG.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali.
Baadhi ya maafisa wa Serikali wamesifu hatua hiyo kuchukuliwa mapema kutokana na unyeti wa ofisi ya CAG wakidai kuwa itaongeza nguvu kwenye shughuli za udhibiti wa hesabu za serikali tofauti na awali ambapo ofisi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na kaimu mdhibiti na mkaguzi mkuu.
Baada ya kula kiapo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijibi Dar es Salaam, CAG huyu mpya...
10 years ago
Dewji Blog28 May
Rais Kikwete amwapisha Balozi Liberata Mulamula
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatano, Mei 27, 2015, amemwapisha Katibu Mkuu mpya, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Rutageruka Mulamula.
Aidha, katika sherehe fupi ya uapisho iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Rais Kikwete amemwapisha Balozi Hassan Simba Yahya kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo.
Katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete amwapisha Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha


10 years ago
Vijimambo13 Feb
Mhe. Rais Kikwete amwapisha rasmi Balozi Haule
11 years ago
Dewji Blog10 Sep
Rais Kikwete amwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Ally Iddi Siwa jana Ikulu jijini Dar es salaam.