Rais Kikwete ateua Majaji wawili wa Mahakama ya Rufaa
Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua Majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani kuanzia Jumamosi iliyopita, Aprili 24, 2015, taarifa iliyotolewa Dar es Salaam, jana, Alhamisi, Aprili 30, 2025 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) imesema.
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 May
RAIS KIKWETE ATEUA MAJAJI WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua Majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani kuanzia Jumamosi iliyopita, Aprili 24, 2015, taarifa iliyotolewa Dar es Salaam, jana Alhamisi, Aprili 30, 2015 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) imesema.
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
10 years ago
Michuzi01 May
NEWS ALERT: JK ATEUA MAJAJI WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
10 years ago
Michuzi13 Aug
NEWS ALERT: Rais Kikwete ateua Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wapya 20
WATUMISHI WA MAHAKAMA
(i) Bw. Penterine Muliisa KENTE, ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani, Dar es Salaam.
(ii) Bw. Benedict Bartholomew MWINGWA,ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s72-c/Untitled1.png)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA RASMI MAJAJI WATEULE WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s640/Untitled1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kigIZMdolpQ/VYCGYp76AgI/AAAAAAAHgJM/hmXEpD-RSoU/s640/Untitled2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2oSX-yM_w2U/VYCGZEdUdsI/AAAAAAAHgJQ/3PB170Cz6YQ/s640/Untitled3.png)
10 years ago
Habarileo15 Aug
Rais ateua Majaji Mahakama Kuu
RAIS Jakaya Kikwete ameteua Majaji 20 wa Mahakama Kuu ya Tanzania kutoka miongoni mwa mawakili wa kujitegemea, watumishi wa vyuo vikuu, Mawakili wa Serikali na taasisi na watumishi wa Mahakama.
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.
Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...
10 years ago
Habarileo27 Mar
Rais Kikwete ateua wabunge wawili
RAIS Jakaya Kikwete amefanya uteuzi wa wabunge wawili wapya wa Bunge na kukamilisha idadi ambayo amepewa mamlaka na Katiba kuwateua.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mdwNdA7BDs0/VK5-HWuiFmI/AAAAAAAG7_g/N4IM6TjIpi8/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Rais Kikwete amwapisha Msajili wa Mahakama ya Rufaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-mdwNdA7BDs0/VK5-HWuiFmI/AAAAAAAG7_g/N4IM6TjIpi8/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fM-bXwiwN0c/VK5-HKXM0aI/AAAAAAAG7_c/hrSKVSdoq7Y/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s72-c/Jaji%2B01.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s640/Jaji%2B01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hp5y7Ax4H2M/VijBsx0Uw9I/AAAAAAAIBqs/quvXx-_wz_k/s640/Jaji%2B02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8UuQ1zi50rQ/VijBuAVR5LI/AAAAAAAIBq8/wGIIg9LOEC0/s640/Jaji%2B05.jpg)