Rais ateua Majaji Mahakama Kuu
RAIS Jakaya Kikwete ameteua Majaji 20 wa Mahakama Kuu ya Tanzania kutoka miongoni mwa mawakili wa kujitegemea, watumishi wa vyuo vikuu, Mawakili wa Serikali na taasisi na watumishi wa Mahakama.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Aug
NEWS ALERT: Rais Kikwete ateua Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wapya 20
WATUMISHI WA MAHAKAMA
(i) Bw. Penterine Muliisa KENTE, ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani, Dar es Salaam.
(ii) Bw. Benedict Bartholomew MWINGWA,ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Dar es...
10 years ago
Dewji Blog01 May
Rais Kikwete ateua Majaji wawili wa Mahakama ya Rufaa
Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua Majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani kuanzia Jumamosi iliyopita, Aprili 24, 2015, taarifa iliyotolewa Dar es Salaam, jana, Alhamisi, Aprili 30, 2025 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) imesema.
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
10 years ago
Vijimambo01 May
RAIS KIKWETE ATEUA MAJAJI WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua Majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani kuanzia Jumamosi iliyopita, Aprili 24, 2015, taarifa iliyotolewa Dar es Salaam, jana Alhamisi, Aprili 30, 2015 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) imesema.
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.
Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Rais Kikwete awaapisha Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wapya 20 Ikulu Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-8hUjrpYtzm0/U-4CfAO4p-I/AAAAAAAF_zc/IxgdEk2gKF0/s1600/ji1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Panterine Muliis Kente kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika sherehe zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 15, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-maUqDhCZIbA/U-4C3m-hcMI/AAAAAAAF_00/hmlgDKn5aXc/s1600/j2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Benedict Bartholomew Mwingwa kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika sherehe zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 15, 2014.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYWhth6Fkw4/U-4DCFbhgVI/AAAAAAAF_18/UoQi0kONJM0/s1600/j3.jpg)
Rais jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Dkt Eliezer Mbuki Feleshi kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCLBtjYr8i4NZH2B44CkX5mePpXR12krdB5KtmU2FZA*oUYrZZe3libsauba9D2fx6gpeykUpejwK-oAJqCo7pZI/JK2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAJAJI WAPYA 20 WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi01 May
NEWS ALERT: JK ATEUA MAJAJI WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2Kr38cTIu6E/U-4C6dgLZ2I/AAAAAAAF_1E/RmEWLnqmino/s72-c/j21.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAPYA 20 IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2Kr38cTIu6E/U-4C6dgLZ2I/AAAAAAAF_1E/RmEWLnqmino/s1600/j21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HpmOYLptCOM/U-4C6o0_NMI/AAAAAAAF_1I/-cxbbN0rloA/s1600/j22.jpg)
11 years ago
Habarileo22 May
Mahakama Kuu bado ina upungufu wa majaji
JAJI Kiongozi Fakhi Jundu amesema Mahakama Kuu bado inakabiliwa na tatizo la upungufu wa majaji, jambo linalosababisha jaji mmoja kusikiliza mashauri mengi kwa mwaka.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10