Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.
Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboJK AMUAPISHA MSAJILI MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA, NI KATARINA REVOCATI
10 years ago
Michuzi13 Aug
NEWS ALERT: Rais Kikwete ateua Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wapya 20
WATUMISHI WA MAHAKAMA
(i) Bw. Penterine Muliisa KENTE, ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani, Dar es Salaam.
(ii) Bw. Benedict Bartholomew MWINGWA,ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s72-c/j18%2B%25281%2529.jpg)
JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s640/j18%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCLBtjYr8i4NZH2B44CkX5mePpXR12krdB5KtmU2FZA*oUYrZZe3libsauba9D2fx6gpeykUpejwK-oAJqCo7pZI/JK2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAJAJI WAPYA 20 WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Rais Kikwete awaapisha Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wapya 20 Ikulu Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-8hUjrpYtzm0/U-4CfAO4p-I/AAAAAAAF_zc/IxgdEk2gKF0/s1600/ji1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Panterine Muliis Kente kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika sherehe zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 15, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-maUqDhCZIbA/U-4C3m-hcMI/AAAAAAAF_00/hmlgDKn5aXc/s1600/j2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Benedict Bartholomew Mwingwa kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika sherehe zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 15, 2014.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYWhth6Fkw4/U-4DCFbhgVI/AAAAAAAF_18/UoQi0kONJM0/s1600/j3.jpg)
Rais jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Dkt Eliezer Mbuki Feleshi kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2Kr38cTIu6E/U-4C6dgLZ2I/AAAAAAAF_1E/RmEWLnqmino/s72-c/j21.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAPYA 20 IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2Kr38cTIu6E/U-4C6dgLZ2I/AAAAAAAF_1E/RmEWLnqmino/s1600/j21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HpmOYLptCOM/U-4C6o0_NMI/AAAAAAAF_1I/-cxbbN0rloA/s1600/j22.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Aug
Rais ateua Majaji Mahakama Kuu
RAIS Jakaya Kikwete ameteua Majaji 20 wa Mahakama Kuu ya Tanzania kutoka miongoni mwa mawakili wa kujitegemea, watumishi wa vyuo vikuu, Mawakili wa Serikali na taasisi na watumishi wa Mahakama.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jJnZk_-W1PU/VcJPTwOMnKI/AAAAAAAHuaw/D61P6h6ota0/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
Rais Kikwete awaapisha Majaji 14 akiwamo Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-jJnZk_-W1PU/VcJPTwOMnKI/AAAAAAAHuaw/D61P6h6ota0/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s72-c/Untitled1.png)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA RASMI MAJAJI WATEULE WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s640/Untitled1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kigIZMdolpQ/VYCGYp76AgI/AAAAAAAHgJM/hmXEpD-RSoU/s640/Untitled2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2oSX-yM_w2U/VYCGZEdUdsI/AAAAAAAHgJQ/3PB170Cz6YQ/s640/Untitled3.png)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10