Rais Kikwete amwapisha rasmi CAG.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali.
Baadhi ya maafisa wa Serikali wamesifu hatua hiyo kuchukuliwa mapema kutokana na unyeti wa ofisi ya CAG wakidai kuwa itaongeza nguvu kwenye shughuli za udhibiti wa hesabu za serikali tofauti na awali ambapo ofisi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na kaimu mdhibiti na mkaguzi mkuu.
Baada ya kula kiapo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijibi Dar es Salaam, CAG huyu mpya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Rais Jakaya Kikwete amwapisha CAG mpya leo , Ikulu Jiji Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimwapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad, leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad akisaini hati ya kiapo chake mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kuapishwa leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto)...
10 years ago
GPL![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA CAG MPYA, PROF MUSA JUMA ASSAD IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo13 Feb
Mhe. Rais Kikwete amwapisha rasmi Balozi Haule
10 years ago
Dewji Blog28 May
Rais Kikwete amwapisha Balozi Liberata Mulamula
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatano, Mei 27, 2015, amemwapisha Katibu Mkuu mpya, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Rutageruka Mulamula.
Aidha, katika sherehe fupi ya uapisho iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Rais Kikwete amemwapisha Balozi Hassan Simba Yahya kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo.
Katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mdwNdA7BDs0/VK5-HWuiFmI/AAAAAAAG7_g/N4IM6TjIpi8/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Rais Kikwete amwapisha Msajili wa Mahakama ya Rufaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-mdwNdA7BDs0/VK5-HWuiFmI/AAAAAAAG7_g/N4IM6TjIpi8/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fM-bXwiwN0c/VK5-HKXM0aI/AAAAAAAG7_c/hrSKVSdoq7Y/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j2yi01Kr2tI/VIXh3qhuC9I/AAAAAAAG2II/6b_hp0YpPgs/s72-c/D92A6879.jpg)
Rais Kikwete amwapisha Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-j2yi01Kr2tI/VIXh3qhuC9I/AAAAAAAG2II/6b_hp0YpPgs/s1600/D92A6879.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-te6xRjEKZEw/VIXh4L7c6fI/AAAAAAAG2IQ/S5C_s-YDODE/s1600/D92A6897.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NnaFm1v8M-L6cuwsI3eZtIiYnF2rA1RsFXpq9aFD633VfiKl5y3-46HZX0FAHHWLxoRKOJBSGE56elBkyxdPg-3/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eehm53KzMyA/VIY0H_avn_I/AAAAAAACUDk/TPbeeI8phvc/s72-c/D92A6879.jpg)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-eehm53KzMyA/VIY0H_avn_I/AAAAAAACUDk/TPbeeI8phvc/s1600/D92A6879.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2kluHJGs03U/VIY0GrdDuLI/AAAAAAACUDc/MUDDWSdDId8/s1600/D92A6897.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Rais Kikwete amwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Ally Iddi Siwa jana Ikulu jijini Dar es salaam.