RAIS KIKWETE AMWAPISHA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-eehm53KzMyA/VIY0H_avn_I/AAAAAAACUDk/TPbeeI8phvc/s72-c/D92A6879.jpg)
Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha Mhe.Daudi Felix Ntibenda akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam Jumatatu Desemba 8, 2014 na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda na viongozi wengine waandamizi wa serikali.Katikati wapili kushoto anayeshuhudia ni Katibu mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na watatu kushoto ni Karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gervas Mdemu
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa miongozo ya kazi(Standing Orders) Mkuu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j2yi01Kr2tI/VIXh3qhuC9I/AAAAAAAG2II/6b_hp0YpPgs/s72-c/D92A6879.jpg)
Rais Kikwete amwapisha Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-j2yi01Kr2tI/VIXh3qhuC9I/AAAAAAAG2II/6b_hp0YpPgs/s1600/D92A6879.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-te6xRjEKZEw/VIXh4L7c6fI/AAAAAAAG2IQ/S5C_s-YDODE/s1600/D92A6897.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NnaFm1v8M-L6cuwsI3eZtIiYnF2rA1RsFXpq9aFD633VfiKl5y3-46HZX0FAHHWLxoRKOJBSGE56elBkyxdPg-3/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VKyYsb1DAig/VKqM1yMqTOI/AAAAAAAG7a0/p5C7KCG2X-k/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VKyYsb1DAig/VKqM1yMqTOI/AAAAAAAG7a0/p5C7KCG2X-k/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TYHEW0zvCo4/VKqM15hvsGI/AAAAAAAG7aw/FOcPkCp_Ztk/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4BEnlUk_h4/VKqM2-GwOFI/AAAAAAAG7bA/cPS3piR_Tns/s1600/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-m1OTpTaao4Q/VKqLczAbhGI/AAAAAAADUx8/CA9uihaqqK8/s72-c/1.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-m1OTpTaao4Q/VKqLczAbhGI/AAAAAAADUx8/CA9uihaqqK8/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Italj0Co_mc/VKqLc_CHFZI/AAAAAAADUyA/TCXxvn0xPU0/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WamWR00j4Rc/VKqLdSWpZ2I/AAAAAAADUyI/nHsxTjjQn4k/s1600/3.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-sEOTHiHjkq8/Vj2BH_nByFI/AAAAAAAAq_Y/gLSxIvLUfao/s72-c/02.jpg)
RAIS DKT.MAGUFULI AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI, IKULU DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-sEOTHiHjkq8/Vj2BH_nByFI/AAAAAAAAq_Y/gLSxIvLUfao/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WcWDvUcO6DE/Vj2BFyMGC9I/AAAAAAAAq_M/l-aCPwRWaRU/s640/01.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Rais Jakaya Kikwete amwapisha CAG mpya leo , Ikulu Jiji Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimwapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad, leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad akisaini hati ya kiapo chake mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kuapishwa leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto)...
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Rais Dkt.Magufuli amwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ikulu Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akisalimina na Makamu wake, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati aliwapowasili kwenye Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam, leo asubuhi Okt. 6, 2015 kwa ajili ya kumwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, aliyemteua jana Okt 5, 2015 mara tu baada ya kuapishwa rasmi. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha George...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IJfC12pvuwA/XvDAkz2tP2I/AAAAAAACOLs/s3wqSXRFUH81FKAG68VQY0gCr2ZxzFpzgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA IDD HASSAN KAMANTA KUWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-IJfC12pvuwA/XvDAkz2tP2I/AAAAAAACOLs/s3wqSXRFUH81FKAG68VQY0gCr2ZxzFpzgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 22 Juni, 2020 amemuapisha Bw. Idd Hassan Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.Hafla ya uapisho huo imefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo pia Mhe. Rais Magufuli na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vaeMCxL3sig/XvC5bMsRIRI/AAAAAAALu80/4MAK7hRaG9oqFm3MOz9PcLXvRCIyit99gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-38-2048x1223.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA IDD HASSAN KIMANTA KUWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-vaeMCxL3sig/XvC5bMsRIRI/AAAAAAALu80/4MAK7hRaG9oqFm3MOz9PcLXvRCIyit99gCLcBGAsYHQ/s640/1-38-2048x1223.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-28.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-14-scaled.jpg)