Kibatala kukata rufaa, aipinga Mahakama Kuu
Bunge
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WAKILI Peter Kibataka anatarajia kukata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kusema kwamba haina mamlaka ya kuingilia marekebisho yanatayofanywa na Bunge Maalum la Katiba katika rasimu.
Kibatala alidai hayo kupitia taarifa yake aliyoitoa jana kupitia mtandao wa kijamii wa facebook ambapo alidai anatarajia kukatia rufaa sehemu ya uamuzi wa mahakama hiyo inayosema kwamba pamoja na kwamba Bunge Maalumu la Katiba lina mipaka na linatakiwa kutekeleza mamlaka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s72-c/Jaji%2B01.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s640/Jaji%2B01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hp5y7Ax4H2M/VijBsx0Uw9I/AAAAAAAIBqs/quvXx-_wz_k/s640/Jaji%2B02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8UuQ1zi50rQ/VijBuAVR5LI/AAAAAAAIBq8/wGIIg9LOEC0/s640/Jaji%2B05.jpg)
10 years ago
Mtanzania27 Feb
Chenge akata rufaa Mahakama Kuu
Patricia Kimelemeta na Aziza Masoud
BARAZA la Maadili la Utumishi wa Umma jana lilikwama kuendelea na mahojiano na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM).
Baraza hilo lilishindwa kuendelea na kazi yake hiyo baada ya Chenge kukata rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga uamuzi wa Baraza hilo kuendelea kujadili tuhuma zinazomkabili.
bilioni 1.6 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Tanzania Ltd, James Rugemalira, kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow.
Kabla ya...
10 years ago
StarTV27 Feb
Chenge akata rufaa mahakama kuu, akataa kuhojiwa.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar Es Salaam.
Baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge kugoma kuhojiwa na sekratarieti ya maadili ya viongozi wa umma kuhusiana na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, Mbunge huyo sasa amekimbilia mahakama kuu ili kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa sekretarieti hiyo wa kutaka kumhoji.
Chenge ambaye ni kiongozi wa kwanza kuitwa kuhojiwa na tume hiyo kwa tuhuma za kuhusishwa kwenye kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow amehoji pia uwezo wa wanasheria wa...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Mbowe akata rufaa mahakama kuu dhidi ya hukumu yake
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Mtikila aipinga Mahakama ya Kadhi kortini
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amekimbilia Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kupinga Mahakama ya Kadhi na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu kuwekwa kwenye Katiba ya nchi.
Mtikila, ambaye hakuwa na wakili wa kumwakilisha, aliifungua kesi hiyo ya kikatiba katika Masijala Kuu Kanda ya Dar es Salaam na kupewa namba 14 ya mwaka huu.
Viongozi wa juu serikalini waliapa kwa ajili ya kuilinda Katiba, lakini wao wanavunja Katiba kwa kukubali kuwepo...
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NrCJT1C9ZWo/VihftnIEt8I/AAAAAAAIBmI/BgU5y0vjJAw/s72-c/images.jpg)
IJUE NAMNA YA KUKATA RUFAA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-NrCJT1C9ZWo/VihftnIEt8I/AAAAAAAIBmI/BgU5y0vjJAw/s1600/images.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Zitto ruksa kukata rufaa Chadema
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Bensouda kukata rufaa kesi ya Katanga