IJUE NAMNA YA KUKATA RUFAA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-NrCJT1C9ZWo/VihftnIEt8I/AAAAAAAIBmI/BgU5y0vjJAw/s72-c/images.jpg)
NA BASHIR YAKUB -Unaposhindwa kesi sio mwisho wa kusaka haki. Hii ni kwasababu kushindwa kesi kunatokana na sababu nyingi . Si kweli kuwa kwakuwa umeshindwa kesi katika mahakama fulani basi maana yake ni kuwa ulikuwa huna haki. Yawezekana kabisa haki ilikuwa yako isipokuwa umeshindwa tu kutokana na sababu nyingine za kiutaratibu na kimbinu (procedures & technicalities). Pia waweza kuwa umeshindwa kutokana na uwezo mdogo wa kujieleza na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4wbVGLNcrhY/Vbk439CLI2I/AAAAAAAHsnc/vv_cpQ1byP0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUKATA RUFAA KESI ZA ARDHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4wbVGLNcrhY/Vbk439CLI2I/AAAAAAAHsnc/vv_cpQ1byP0/s640/1.1774256.jpg)
Rufaa ni hatua ya kisheria ambayo hufikiwa na mhusika katika shauri fulani iwapo hakurushishwa na maamuzi. Rufaa sio mpaka uwe umeshindwa kabisa, hapana. Yawezekana ukawa umeshinda kesi lakini hukuridhishwa na kiwango ulichoshinda.Kwa mfano uliomba wavamizi waondoke katika nyumba yako na hapohapo wakulipe fidia. Mahakama ikatoa hukumu kuwa umeshinda wavamizi waondoke katika nyumba yako lakini ikasema wasikulipe...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V_aZzFKYvNE/VjxeE8TJr2I/AAAAAAAIEnU/obNrHw1SqvQ/s72-c/download.jpg)
JE MNAHITAJI SACCOS, IJUE NAMNA YA KUANZISHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-V_aZzFKYvNE/VjxeE8TJr2I/AAAAAAAIEnU/obNrHw1SqvQ/s1600/download.jpg)
Hii ilikwenda sambamba na maelezo ya tofauti za kiuchumi ya vyote viwili. Ifahamike kuwa hizi zote ni njia za kisasa za kujitafutia kipato. Makala ya leo yanaeleza namna ya kisheria ya kuanzisha SACCOS.
Tutaona utaratibu mzima...
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Ijue afya yako -jongo husababishwa na namna tunavyokula -sehemu ya 2
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Bensouda kukata rufaa kesi ya Katanga
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Zitto ruksa kukata rufaa Chadema
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s72-c/dar%252Bport.jpg)
MAKALA YA SHERIA: IJUE NAMNA YA KUPATA MSAMAHA WA KODI NA USHURU BANDARINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s640/dar%252Bport.jpg)
10 years ago
Mtanzania29 Sep
Kibatala kukata rufaa, aipinga Mahakama Kuu
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WAKILI Peter Kibataka anatarajia kukata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kusema kwamba haina mamlaka ya kuingilia marekebisho yanatayofanywa na Bunge Maalum la Katiba katika rasimu.
Kibatala alidai hayo kupitia taarifa yake aliyoitoa jana kupitia mtandao wa kijamii wa facebook ambapo alidai anatarajia kukatia rufaa sehemu ya uamuzi wa mahakama hiyo inayosema kwamba pamoja na kwamba Bunge Maalumu la Katiba lina mipaka na linatakiwa kutekeleza mamlaka...
10 years ago
Habarileo09 Jul
Kingunge asisitiza haki ya kukata rufaa CCM
MUASISI wa Chama Cha Mapinduzi, Kingunge Ngombale-Mwiru amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoa nafasi ya rufaa kwa watu watakaoona kutotendewa haki katika kuwania urais kupitia chama hicho.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-x3CLdR501CA/VYwP-E1doxI/AAAAAAAACQE/xCaqG1sHyew/s72-c/Onion-peeled-and-crying.jpg)
NAMNA YA KUZUIA KUTOKWA NA MACHOZI WAKATI WA KUKATA VITUNGUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-x3CLdR501CA/VYwP-E1doxI/AAAAAAAACQE/xCaqG1sHyew/s400/Onion-peeled-and-crying.jpg)
Ni kitu kilichowazi kwa kila mtu hususani wale wanaojihusisha na swala zima la mapishi kuhusu kutokwa na machozi wakati wa kukata kitunguu. Wataalam wa mambo wanadai kwamba ukikata kitunguu huku unatafuna BIG G kuna uwezekano mkubwa usitokwe na machozi na hata kama yatatoka ni kwa kiwango kidogo ukilinganisha na ukifanya zoezi hilo bila kutafuna BIG G.
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide...