Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
Mahakama ya Rufani leo imeketi kusikiliza hoja za wakata rufaa (Jamhuri) na wakatiwa rufaa (utetezi) kwenye maombi ya rufaa namba 344Â yaliyopo Mahakama Kuu kuhusu kufutiwa dhamana kwa washtakiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (Mb) na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko. Upande wa Jamhuri umeiomba Mahakama ya Rufaa kuamuru maombi hayo 344 yatupiliwe mbali na Mahakama Kuu kwa sababu
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Mbowe akata rufaa mahakama kuu dhidi ya hukumu yake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oaTrVdosLis/XqqXG5lkWSI/AAAAAAALon0/gp5nU_2J1DwqRooEOdvcCHLO06-MORe0QCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YATOA UAMUZI RUFAA YA MKUU WA WILAYA YA CHEMBA
Uamuzi huo umetolewa leo Aprili 29, 2020 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Glory Nkwera ambaye amekazia hukumu hiyo na kumtaka Odunga kutoa kiasi hicho cha fedha Kama ilivyoamuliwa na mahakama ya mwanzo ya Ukonga...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Uamuzi wasubiriwa kuhusu rufaa ya Lubanga ICC
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Bility akata rufaa uamuzi wa kumzuia kuwania Fifa
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Jamhuri yakata rufaa kesi ya Wakili Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya utakatishaji fedha haramu inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, wamewasilisha kusudio la kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania dhidi ya uamuzi wa Jaji Gadi Mjemas wa kukataa kuvipokea baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani.
Vielelezo hivyo viliwasilishwa mahakamni hapo na shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga wiki iliyopita.
Uamuzi huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Jaji Mjemas...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Akata rufaa kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kumfungia mwaka mmoja CCM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Slotbe5A7xU/XqF6EboKXUI/AAAAAAALn-c/fyJSc6i3mroLcIPSIcvfQ9FmQCSYn3tdgCLcBGAsYHQ/s72-c/MBOW%252BPIC.gif)
RUFAA YA MBOWE NA WEZAKE KUANZA KUSIKILIZWA MEI 13,2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-Slotbe5A7xU/XqF6EboKXUI/AAAAAAALn-c/fyJSc6i3mroLcIPSIcvfQ9FmQCSYn3tdgCLcBGAsYHQ/s640/MBOW%252BPIC.gif)
Kesi hiyo iliitwa leo Aprili 23, 2020 kwa ajili ya kutajwa mbele ya Jaji Mfawidhi, Lameck Mlacha ambaye pamoja na mambo mengine ameahirisha kesi hiyo hadi Aprili 28, mwaka huu huku pia akipanga ianze kusikilizwa Mei 13 mbele ya Jaji...
10 years ago
Mtanzania27 Feb
Chenge akata rufaa Mahakama Kuu
Patricia Kimelemeta na Aziza Masoud
BARAZA la Maadili la Utumishi wa Umma jana lilikwama kuendelea na mahojiano na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM).
Baraza hilo lilishindwa kuendelea na kazi yake hiyo baada ya Chenge kukata rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga uamuzi wa Baraza hilo kuendelea kujadili tuhuma zinazomkabili.
bilioni 1.6 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Tanzania Ltd, James Rugemalira, kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow.
Kabla ya...