RUFAA YA MBOWE NA WEZAKE KUANZA KUSIKILIZWA MEI 13,2020
RUFAA iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake saba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kupinga hukumu dhidi ya kesi ya uchochezi na mashtaka mengine iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, itaanza kusikilizwa Mei 13, mwaka huu.
Kesi hiyo iliitwa leo Aprili 23, 2020 kwa ajili ya kutajwa mbele ya Jaji Mfawidhi, Lameck Mlacha ambaye pamoja na mambo mengine ameahirisha kesi hiyo hadi Aprili 28, mwaka huu huku pia akipanga ianze kusikilizwa Mei 13 mbele ya Jaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
9 years ago
GPLRUFAA YA PISTORIUS KUSIKILIZWA NOVEMBA 3 MWAKA HUU
10 years ago
VijimamboRUFAA YA CHEKA KUSIKILIZWA DAR-ES-SALAAM FAILI LA KESI YAKE KUTUA SIKU YEYOTE
Mmoja wa memba...
10 years ago
Habarileo17 Sep
Kesi Bunge Maalum kuanza kusikilizwa leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inaanza kusikiliza kesi ya Kikatiba, iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Saidi Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba, linaloendelea mkoani Dodoma.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Mbowe akata rufaa mahakama kuu dhidi ya hukumu yake
11 years ago
GPLMAFUNZO YA WALIOFELI KUANZA MEI 26
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Bunge la Bajeti kuanza Mei 6
MKUTANO wa Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 utaanza Mei 6 hadi Juni 27, mwaka huu mjini Dodoma huku bajeti kuu ya Serikali ikitarajiwa kusomwa Juni 12. Hayo yalielezwa bungeni...
10 years ago
VijimamboMAONYESHO YA TANO YA HOMES EXPO KUANZA MEI 29
.................................................ZAIDI ya Kampuni 70 hapa nchini kwa kushirikiana na nchi jirani,...