MAFUNZO YA WALIOFELI KUANZA MEI 26
![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yhu3nce6QCzqv4DcUSzPOStodU6DC1dFRzeqx2NfHzH0geFPaOInwp2*S2MIexm9c4A-ETNMuSLWGFmOFNDn0j7/Liberianstudents010.jpg?width=650)
Stori: mwanDISHI WETU MAFUNZO maalum kwa vijana waliofeli mtihani wa kidato cha nne mwaka jana, wamehimizwa kuchukua fomu za kujiunga na Chuo cha Mlimani Professional School of Studies kwani masomo rasmi yanatarajiwa kuanza Mei 26, mwaka huu. Kwa mujibu wa mkuu wa chuo hicho, Hassan Ngoma, wanatarajia kutoa mafunzo ya kozi mbalimbali ambazo zitamwezesha mwanafunzi kujiajiri katika nyanja mbalimbali kusaidia kupunguza idadi kubwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziFURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa mafunzo ya ‘body percussion’ yaani matumizi ya mwili katika kutengeneza midundo ya...
11 years ago
GPLFURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
FURSA: Mafunzo ya kupiga ala za muziki kuanza tena mwezi Mei mwaka huu
Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi.
Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa darasani.
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Bunge la Bajeti kuanza Mei 6
MKUTANO wa Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 utaanza Mei 6 hadi Juni 27, mwaka huu mjini Dodoma huku bajeti kuu ya Serikali ikitarajiwa kusomwa Juni 12. Hayo yalielezwa bungeni...
10 years ago
VijimamboMAONYESHO YA TANO YA HOMES EXPO KUANZA MEI 29
.................................................ZAIDI ya Kampuni 70 hapa nchini kwa kushirikiana na nchi jirani,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Slotbe5A7xU/XqF6EboKXUI/AAAAAAALn-c/fyJSc6i3mroLcIPSIcvfQ9FmQCSYn3tdgCLcBGAsYHQ/s72-c/MBOW%252BPIC.gif)
RUFAA YA MBOWE NA WEZAKE KUANZA KUSIKILIZWA MEI 13,2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-Slotbe5A7xU/XqF6EboKXUI/AAAAAAALn-c/fyJSc6i3mroLcIPSIcvfQ9FmQCSYn3tdgCLcBGAsYHQ/s640/MBOW%252BPIC.gif)
Kesi hiyo iliitwa leo Aprili 23, 2020 kwa ajili ya kutajwa mbele ya Jaji Mfawidhi, Lameck Mlacha ambaye pamoja na mambo mengine ameahirisha kesi hiyo hadi Aprili 28, mwaka huu huku pia akipanga ianze kusikilizwa Mei 13 mbele ya Jaji...
10 years ago
Michuzi08 May
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-G5HENcLrqtE/VU6kZjeHo9I/AAAAAAAHWeA/_6dB1FnxX6s/s72-c/download.jpg)
MKUTANO WA ISHIRINI WA BUNGE LA KUMI KUANZA DODOMA TAHERE 12 MEI 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-G5HENcLrqtE/VU6kZjeHo9I/AAAAAAAHWeA/_6dB1FnxX6s/s1600/download.jpg)
1.0 UTANGULIZIMkutano wa Ishirini (20) wa Bunge la Kumi (10) unatarajia kuanza mjini Dodoma tarehe 12 Mei 2015. Mkutano huo ambao ni mahususi kwa ajili ya kujadili na kupitisha Bajeti ya Serikali ndiyo utakaokuwa mkutano wa mwisho wa Bunge hili kabla ya kuvunjwa na baadaye kufanyika Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba 2015.
Hivyo, Wabunge wote wanapaswa kuwa wamewasili mjini Dodoma ifikapo Jumapili tarehe 10 Mei 2015 tayari kuhudhuria kikao cha...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4pT8hM42GXI/XsZLR0YGDAI/AAAAAAAAUTE/xCrNRqPhnQMozF-QQGUi9WNtNqQbIvYFQCLcBGAsYHQ/s72-c/16976757_304.jpg)
LIGI YA SOKA YA WANAWAKE NCHINI UINGEREZA KUANZA KUTIMUA VUMBI MEI 29
![](https://1.bp.blogspot.com/-4pT8hM42GXI/XsZLR0YGDAI/AAAAAAAAUTE/xCrNRqPhnQMozF-QQGUi9WNtNqQbIvYFQCLcBGAsYHQ/s400/16976757_304.jpg)
Ligi ya wanaume ilirejea wiki iliyopita, pia bila ya mashabiki uwanjani na chini ya vizuizi vikali vya kiafya vilivyotengenezwa kwa lengo la kupunguza kusambaa kwa maambukizi.
Rais wa DFB Fritz Keller ameeleza kufurahishwa...