Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFUNZO YA WALIOFELI KUANZA MEI 26

Stori: mwanDISHI WETU MAFUNZO maalum kwa vijana waliofeli mtihani wa kidato cha nne mwaka jana, wamehimizwa kuchukua fomu za kujiunga na Chuo cha Mlimani Professional School of Studies kwani masomo rasmi yanatarajiwa kuanza Mei 26, mwaka huu. Kwa mujibu wa mkuu wa chuo hicho, Hassan Ngoma, wanatarajia kutoa mafunzo ya kozi mbalimbali ambazo zitamwezesha mwanafunzi kujiajiri katika nyanja mbalimbali kusaidia kupunguza idadi kubwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI

Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa mafunzo ya ‘body percussion’ yaani matumizi ya mwili katika kutengeneza midundo ya...

 

11 years ago

GPL

FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI‏

 Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi. Baadhi ya wanafunzi wakiwa…

 

11 years ago

Dewji Blog

FURSA: Mafunzo ya kupiga ala za muziki kuanza tena mwezi Mei mwaka huu

Untitled

Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi.

Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.

Untitled 1

Baadhi ya wanafunzi wakiwa darasani.

Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Bajeti kuanza Mei 6

MKUTANO wa Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 utaanza Mei 6 hadi Juni 27, mwaka huu mjini Dodoma huku bajeti kuu ya Serikali ikitarajiwa kusomwa Juni 12. Hayo yalielezwa bungeni...

 

10 years ago

Vijimambo

MAONYESHO YA TANO YA HOMES EXPO KUANZA MEI 29

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya EAG group, Zenno Ngowi akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu maonyesho ya tano ya Tanzania Homes Explo yatakayoanza Mei 29 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Masoko wa kampuni hiyo, Hellen Mangore na Ofisa Masoko Mkuu, Richard Ryaganda.  (Picha na Francis Dande) 
.................................................ZAIDI ya Kampuni 70  hapa nchini kwa kushirikiana  na nchi jirani,...

 

5 years ago

Michuzi

RUFAA YA MBOWE NA WEZAKE KUANZA KUSIKILIZWA MEI 13,2020

RUFAA iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake saba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kupinga hukumu dhidi ya kesi ya uchochezi na mashtaka mengine iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, itaanza kusikilizwa Mei 13, mwaka huu.
Kesi hiyo iliitwa leo Aprili 23, 2020 kwa ajili ya kutajwa mbele ya Jaji Mfawidhi, Lameck Mlacha ambaye pamoja na mambo mengine ameahirisha kesi hiyo hadi Aprili 28, mwaka huu huku pia akipanga ianze kusikilizwa Mei 13 mbele ya Jaji...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA ISHIRINI WA BUNGE LA KUMI KUANZA DODOMA TAHERE 12 MEI 2015

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BUNGE LA TANZANIA




1.0       UTANGULIZI

Mkutano wa Ishirini (20) wa Bunge la Kumi (10) unatarajia kuanza mjini Dodoma tarehe 12 Mei 2015. Mkutano huo ambao ni mahususi kwa ajili ya kujadili na kupitisha Bajeti ya Serikali ndiyo utakaokuwa mkutano wa mwisho wa Bunge hili kabla ya kuvunjwa na baadaye kufanyika Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba 2015.


Hivyo, Wabunge wote wanapaswa kuwa wamewasili mjini Dodoma  ifikapo Jumapili tarehe 10 Mei 2015 tayari kuhudhuria kikao cha...

 

5 years ago

CCM Blog

LIGI YA SOKA YA WANAWAKE NCHINI UINGEREZA KUANZA KUTIMUA VUMBI MEI 29

  Ligi ya soka ya wanawake nchini Ujerumani inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 29, lakini bila ya mashabiki. Shirikisho la soka la Ujerumani, DFB limetangaza hatua hiyo jana baada ya ligi hiyo kusimamishwa kwa takriban miezi mitatu kutokana na janga la virusi vya corona.
Ligi ya wanaume ilirejea wiki iliyopita, pia bila ya mashabiki uwanjani na chini ya vizuizi vikali vya kiafya vilivyotengenezwa kwa lengo la kupunguza kusambaa kwa maambukizi.

 Rais wa DFB Fritz Keller ameeleza kufurahishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani