FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI
Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa mafunzo ya ‘body percussion’ yaani matumizi ya mwili katika kutengeneza midundo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLFURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
FURSA: Mafunzo ya kupiga ala za muziki kuanza tena mwezi Mei mwaka huu
Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi.
Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa darasani.
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa...
11 years ago
GPLFURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yhu3nce6QCzqv4DcUSzPOStodU6DC1dFRzeqx2NfHzH0geFPaOInwp2*S2MIexm9c4A-ETNMuSLWGFmOFNDn0j7/Liberianstudents010.jpg?width=650)
MAFUNZO YA WALIOFELI KUANZA MEI 26
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Jhikoman: Bila kujua kupiga ala, huwezi kuwa msanii kamili
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
AMTZ kutoa mafunzo upigaji ala
TAASISI ya Action Music Tanzania (AMTZ), inatarajiwa kuanza kutoa mafunzo ya kupiga ala za muziki yatakayofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia kesho. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na AMTZ jana,...
10 years ago
GPLVEGA-CAPPELA, WAIMBAJI WA INJILI WASIOTUMIA ALA ZA MUZIKI
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
MAO KASABILE ‘REMI’: Mpiga gitaa Twanga aliyekimbilia kanisani kujifunza ala za muziki
WENGI wanamtambua kwa jina la utani la Remi, ambalo amekuwa akilitumia mara kwa mara, hapa namzungumzia Mao Kasabile ‘Remi’ ni mpiga gitaa la besi katika bendi ya Twanga Pepeta mwenye...