Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMTZ kutoa mafunzo upigaji ala

TAASISI ya Action Music Tanzania (AMTZ), inatarajiwa kuanza kutoa mafunzo ya kupiga ala za muziki yatakayofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia kesho. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na AMTZ jana,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI‏

 Mwalimu Abeid Mussa akitoa maelekezo ya wakati wa mazoezi ya kufanya onyesho la muziki .
 Mwalimu wa Kinanda Prosper Shirima (katikati) akifundisha .…

 

10 years ago

Michuzi

WASANII WATAKIWA KUTOA ELIMU YA UPIGAJI KURA

Na Mwandishi Wetu
Wasanii nchini wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa elimu ya uraia kwa wananchi ili watambue umuhimu wa kupiga kura na kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa  (BASATA) Godfrey Mngereza wakati akichangia mada kuhusu Umuhimu wa Jamii kupiga kura kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika makao makuu ya BASATA Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
“Kama taifa tunazungukwa na matukio mengi...

 

11 years ago

Michuzi

FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI

Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa mafunzo ya ‘body percussion’ yaani matumizi ya mwili katika kutengeneza midundo ya...

 

11 years ago

GPL

FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI‏

 Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi. Baadhi ya wanafunzi wakiwa…

 

11 years ago

Dewji Blog

FURSA: Mafunzo ya kupiga ala za muziki kuanza tena mwezi Mei mwaka huu

Untitled

Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi.

Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.

Untitled 1

Baadhi ya wanafunzi wakiwa darasani.

Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa...

 

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD: Ningependa wasanii tusaidie kutoa elimu ya upigaji kura kuliko kushabikia vyama

Hemedy PHD amedai hajajifunga na chama chochote cha siasa kama ilivyo kwa wasanii wengi na kwamba jambo la muhimu zaidi ambalo anaamini wangefanya ni kusaidia kueneza elimu ya upigaji kura. Hemedy ameiambia Bongo5 kuwa wananchi wengi hawana elimu hiyo na hapendi kuona limefumbiwa macho. “Wenye haki ya kupiga kura tayari ni wengi, wengi wamekua na […]

 

10 years ago

Habarileo

Veta kutoa mafunzo sehemu za kazi

MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imesema inalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa kupitia Mpango wa Uanagenzi Pacha, ambao unatoa kipaumbele zaidi cha mafunzo sehemu za kazi kuliko darasani na hivyo kutoa fursa pana za kujifunza kwa vitendo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kituo kutoa mafunzo ya uhandisi, usanifu

Zaidi ya wataalamu 1,200 wa fani ya uhandisi, usanifu majengo na usimamizi wa miradi, wanatarajiwa kuingizwa kwenye soko la ajira nchini kila mwaka kutokana na uanzishwaji wa Kituo cha Mafunzo cha Computer Aided Drafting & Design (CADD) .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani