Kituo kutoa mafunzo ya uhandisi, usanifu
Zaidi ya wataalamu 1,200 wa fani ya uhandisi, usanifu majengo na usimamizi wa miradi, wanatarajiwa kuingizwa kwenye soko la ajira nchini kila mwaka kutokana na uanzishwaji wa Kituo cha Mafunzo cha Computer Aided Drafting & Design (CADD) .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lsTLyL08ovI/UwWH76oJ7gI/AAAAAAAFOKs/KU7Uj7K9fnU/s72-c/1.jpg)
Kituo cha mafunzo chazinduliwa kuiongezea thamani soko la ajira la uhandisi na usimamizi wa miradi
![](http://3.bp.blogspot.com/-lsTLyL08ovI/UwWH76oJ7gI/AAAAAAAFOKs/KU7Uj7K9fnU/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tXoN4jfLjPg/UwWIA3DABWI/AAAAAAAFOLM/DSgYGmRhg98/s1600/2.jpg)
10 years ago
Habarileo03 Jun
Veta kutoa mafunzo sehemu za kazi
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imesema inalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa kupitia Mpango wa Uanagenzi Pacha, ambao unatoa kipaumbele zaidi cha mafunzo sehemu za kazi kuliko darasani na hivyo kutoa fursa pana za kujifunza kwa vitendo.
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
AMTZ kutoa mafunzo upigaji ala
TAASISI ya Action Music Tanzania (AMTZ), inatarajiwa kuanza kutoa mafunzo ya kupiga ala za muziki yatakayofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia kesho. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na AMTZ jana,...
11 years ago
Dewji Blog21 Jun
EOTF kutoa Mafunzo kwa Wanawake Wajasiriamali bure
Mkurugenzi Mtendaji wa IPP Dkt. Reginald Mengi, ni mmoja wa watoa mada katika semina hiyo.
Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) utaendesha Semina ya mafunzo ya siku 3 kwa Wanawake Wajasiriamali itakayofanyika kuanzia tarehe 23 hadi tarehe 25 Juni 2014, kuanzia saa 2 asubuhi katika ukumbi wa JKT Mgulani, Temeke,jijini Dar es salaam. Lengo la mafunzo haya kwa mwaka huu ni kuwaelimisha wanawake jinsi ya kupata mitaji kwa ajili ya biashara, masoko pamoja na stadi za ujasiriamari. Katika...
11 years ago
MichuziTANZANIA KUTOA MAFUNZO YA KILIMO KWA SUDANI YA KUSINI
Na Bashiri Kalum
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mhe. Eng Christopher Kajoro Chiza,( MB), amesema Tanzania ipo tayari kuendesha mafunzo ya kilimo katika vyuo vyake vya kilimo kwa wananchi wa Sudani, kuanzia ngazi ya cheti hadi ngazi ya shahada na kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na Sudani...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RSSLf2oJ63w/U4bippjFvzI/AAAAAAAFmHI/reCCB46q0YY/s72-c/1.jpg)
HAPNESS MAGESE KUTOA MAFUNZO KUHUSIANA UGONJWA WA ‘Endometriosis’
![](http://4.bp.blogspot.com/-RSSLf2oJ63w/U4bippjFvzI/AAAAAAAFmHI/reCCB46q0YY/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-97JBUxTnQSk/VSuTRXBxR_I/AAAAAAAC3EU/AB51KvUQEhs/s72-c/6.jpg)
TRA kutoa mafunzo ya ukusanyaji kodi wa washiriki 150
![](http://2.bp.blogspot.com/-97JBUxTnQSk/VSuTRXBxR_I/AAAAAAAC3EU/AB51KvUQEhs/s1600/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FWtY9RP09kc/VSuTSCzTz5I/AAAAAAAC3Eg/FbHkNMHq2yg/s1600/7a.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 May
Serikali kuendelea kutoa mafunzo ya cheti cha sheria
SERIKALI imesema itaendelea kutoa mafunzo ya ngazi ya cheti na stashahada katika Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kwa kuwa bado inawahitaji wataalamu hao.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Ummy Mwalimu, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi).
Katika swali lake, Machali, alihoji uhalali wa Serikali kupoteza fedha kwa ajili ya kutoa mafunzo ya cheti na stashahada katika chuo hicho wakati haiajiri tena...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10