HAPNESS MAGESE KUTOA MAFUNZO KUHUSIANA UGONJWA WA ‘Endometriosis’
![](http://4.bp.blogspot.com/-RSSLf2oJ63w/U4bippjFvzI/AAAAAAAFmHI/reCCB46q0YY/s72-c/1.jpg)
Mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania na aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2001,Hapiness Millen Magese akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam Mey 28,2014 kuhusu kuanzishwa kwa Kampeni ya kuhamasisha wanawake na vijana kupaza sauti zao wanaposumbuliwa na ugonjwa wa ‘Endometriosis’ baada ya yeye kuathirika na Ugonjwa huo kwa kipindi kirefu.ambapo amesema wanawake wengi na wasichana wamekuwa wakisumbuliwa lakini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7UnJgkICvak/U4delqxyhkI/AAAAAAAFmRA/MvCD4Bnuoag/s72-c/unnamed+(6).jpg)
HAPPINESS MAGESE ATOA MAFUNZO KUHUSIANA UGONJWA WA ‘Endometriosis’
![](http://1.bp.blogspot.com/-7UnJgkICvak/U4delqxyhkI/AAAAAAAFmRA/MvCD4Bnuoag/s1600/unnamed+(6).jpg)
Amesema wanawake wengi na wasichana wamekuwa wakisumbuliwa lakini hawajui...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-YcoJZUbau8Q/VGvXtEpmGDI/AAAAAAADNr4/KDWljuNTVXc/s72-c/AAAG%2BEbola%2BTown%2BHall%2BPress%2BRelease%2BFinal_0001.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-r-4IQ41CIgA/VRxGbqPNwlI/AAAAAAABqYs/JcfL5utTKRA/s72-c/20150308_091632.jpg)
Maafisa wa Upelelezi Kisiwani Pemba wakiwa katika mafunzo kuhusiana na Utakasishaji wa Fedha Haramu
![](http://3.bp.blogspot.com/-r-4IQ41CIgA/VRxGbqPNwlI/AAAAAAABqYs/JcfL5utTKRA/s640/20150308_091632.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kX_Q26Ld6hU/VRxGbNEaSmI/AAAAAAABqYk/z7nMh-1kZW8/s640/20150331_093906.jpg)
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-QlrwZacNU1E/U0CSp2g9YuI/AAAAAAAAALU/b9tgaU-k2n0/s72-c/blg.jpg)
MCHANGO WA "HOLLYWOOD" KATIKA KUTOA ELIMU KWA JAMII KUHUSIANA NA UHALIFU MTANDAO.
Unapozungumzia vyombo vya habari ikiwa ni pamoja na wacheza Filamu Televishen na Redio Hollywood imekua mstari wa mbele katika kutoa elimu ya kina kuhusiana na makosa mtandao jinsi yanavyo tendwa na namna ya kutambua na kujikinga.
Kumekua na kampeni endelevu Kupitia tamthilia mbali mbali pamoja na muvi zinazotengenezwa marekani kuhakiki jamii inatambua aina mpya ya makosa mtandao yanaingizwa katika vipengele mbali mbali ndani ya Filamu zinazotengenezwa.
Baadhi ya Mifano hai ni kutoka katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PpRDY32gDcM/XmY_Paeqy_I/AAAAAAALiPM/iR8klbgdzuQOQOxTUG6MypB975cCjPbHwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
RC Wangabo azunguka vijijini kutoa elimu ya Ugonjwa wa Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-PpRDY32gDcM/XmY_Paeqy_I/AAAAAAALiPM/iR8klbgdzuQOQOxTUG6MypB975cCjPbHwCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Wakati akielezea miongoni mwa mila...
5 years ago
MichuziMadaktari wa Kichina watoa mafunzo ya kinga na tiba ya ugonjwa wa corona Sudan
Maafisa zaidi ya 50 wa afya nchini Sudan wanashiriki katika zoezi hilo ambalo lengo lake kuu ni kuchukua hatua za haraka za kuzuia na kutibu ugonjwa huo hatari.
Mmoja wa madaktari hao kutoka China, Li Changhong, amesema kuwa, timu yake ina mawasiliano ya karibu...
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA SEKTA YA AFYA ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO JINSI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA EBOLA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0gAIo3fsSoI/XoS35KCGiKI/AAAAAAALlz8/YouBNj2Rz54XIoZqM8kLO9Fkr2GTevPTwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b82d31a-ae7b-49b4-92db-a4f5f98afdac.jpg)
ENDELEENI KUTOA ELIMU YA UGONJWA WA CORONA KWA WANANCHI – DKT.NDUGULILE
![](https://1.bp.blogspot.com/-0gAIo3fsSoI/XoS35KCGiKI/AAAAAAALlz8/YouBNj2Rz54XIoZqM8kLO9Fkr2GTevPTwCLcBGAsYHQ/s640/0b82d31a-ae7b-49b4-92db-a4f5f98afdac.jpg)
Muonekano wa chumba atakacholazwa mgonjwa wa Corona endapo atatokea, kilichopo katika jengo lililotengwa kwaajili ya wagonjwa hao katika kituo cha Afya Mkonze Jijini Dodoma,
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/6bb0d8a5-9a3e-41e6-91a9-a111db4674cc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/861a53c7-bb7c-41b6-8201-996c994dbcb4.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na Wataalamu wa Sekta ya Afya ngazi ya Mkoa katika ofisi za mkuu wa Mkoa wa Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/1924b07d-13db-49c1-b13e-3b6b6e6ae586.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
AMTZ kutoa mafunzo upigaji ala
TAASISI ya Action Music Tanzania (AMTZ), inatarajiwa kuanza kutoa mafunzo ya kupiga ala za muziki yatakayofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia kesho. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na AMTZ jana,...