MCHANGO WA "HOLLYWOOD" KATIKA KUTOA ELIMU KWA JAMII KUHUSIANA NA UHALIFU MTANDAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-QlrwZacNU1E/U0CSp2g9YuI/AAAAAAAAALU/b9tgaU-k2n0/s72-c/blg.jpg)
Unapozungumzia vyombo vya habari ikiwa ni pamoja na wacheza Filamu Televishen na Redio Hollywood imekua mstari wa mbele katika kutoa elimu ya kina kuhusiana na makosa mtandao jinsi yanavyo tendwa na namna ya kutambua na kujikinga.
Kumekua na kampeni endelevu Kupitia tamthilia mbali mbali pamoja na muvi zinazotengenezwa marekani kuhakiki jamii inatambua aina mpya ya makosa mtandao yanaingizwa katika vipengele mbali mbali ndani ya Filamu zinazotengenezwa.
Baadhi ya Mifano hai ni kutoka katika...
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu aitaka NHIF kuongeza bidii katika kutoa elimu ya Afya kwa Jamii
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-vMMc9OVyn5o/U0UwMiu8BQI/AAAAAAAAAPY/jRzHOoC3YDA/s72-c/01+Securing-The-Human.jpg)
USALAMA MTANDAO NA NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUTOA ELIMU.
Miongoni mwa jitihada zinaonekana kwa vyombo vya habari na makundi mbali mbali nchini Tanzania kuanza kuona umuhimu wa maswala ya ulinzi...
10 years ago
Habarileo07 Feb
Takukuru kutoa elimu kwa jamii kuepuka rushwa
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) imesema ina mpango mkakati unaowahusisha wadau mbalimbali wa namna ya kuielimisha jamii ielewe juu ya madhara ya rushwa ili kwa pamoja, iweze kusaidia katika mapambano ya kuitokomeza.
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Redio za kijamii zatakiwa kutoa elimu kwa jamii
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa UNESCO, Bw. Al Amin Yusuph, akifafanua jambo kwa Diwani wa kata ya Ololosokwani ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shirika lisiolo la kiserikali la RAMAT inayomiliki Redio Loliondo FM, Bw. Yannick Ndoinyo (kushoto) wakati wa ziara ya kukagua miradi inayofadhiliwa na UNESCO. Bw. Al Amin aliambatana na wadau wa maendeleo Meneja Mauzo wa Samsung tawi la Tanzania, Bw. Sylvester Nteere (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Ubalozi wa Uswiss nchini, Bw....
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0323.jpg)
REDIO ZA KIJAMII ZATAKIWA KUTOA ELIMU KWA JAMII
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali yaendelea kutoa elimu ya Sheria ya makosa ya mtandao kwa Maafisa Habari
Mkurugenzi msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi Zamaradi Kawawa akifurahia jambo na Mkuu wa Masuala ya Siasa na Habari wa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) nchini Tanzania Bi Luana Reale wakati wa warsha ya Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 (cybercrime Act 2015. iliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-63.jpg)
MAAFISA USTAWI NA MAENDELEO YA JAMII WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s640/1-63.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Hargeney Chituturo akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha, katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha jana tarehe 28/03/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-B-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-A-1.jpg)
Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona katika ukumbi wa Mikutano...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ve0wVtFgBTE/VkQ7ZXe2QxI/AAAAAAAIFYQ/tCIHNCIUU08/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CC4idMM9HUI/VbHHdNqJp7I/AAAAAAAHrY4/KFf210omozs/s72-c/1111223i.jpg)
USHIRIKIANO NI MUHIMU KATIKA UTHIBITI WA UHALIFU MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CC4idMM9HUI/VbHHdNqJp7I/AAAAAAAHrY4/KFf210omozs/s640/1111223i.jpg)
Baada ya kulizungumza hili laushirikiano wazungumzaji wengine wote walionekana kuniunga...