USHIRIKIANO NI MUHIMU KATIKA UTHIBITI WA UHALIFU MTANDAO

Itakumbukwa Mwishoni mwa mwezi wa tano mwaka huu katika hotuba yangu niliyo iwasilisha kwa wanausalama mitandao tulipo kutana jijini Johannesburg mbali na mambo mengine nilihimiza sana ushirikiano baina yetu kwani wahalifu mtandao wameendelea kua mbele yetu kutokana na ushirikiano mkubwa waliokua nao. Ushirikiano unao mabatana na kusambaza vitendea uhalifu mtandao bure auu kwa gharama nafuu mitandaoni.
Baada ya kulizungumza hili laushirikiano wazungumzaji wengine wote walionekana kuniunga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo
USHIRIKIANO NI MUHIMU KATIKA UTHIBITI WA UHALIFU MTNDAO

Baada ya kulizungumza hili laushirikiano wazungumzaji wengine wote walionekana kuniunga...
10 years ago
Ykileo
UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Kume kua na hoja nyingi kutoka mataifa mbali mbali juu ya kusua sua katika ushirikiano unao vuka mipaka huku uhalifu mtandao kutotambua mipaka...
11 years ago
Ykileo
MCHANGO WA "HOLLYWOOD" KATIKA KUTOA ELIMU KWA JAMII KUHUSIANA NA UHALIFU MTANDAO.
Unapozungumzia vyombo vya habari ikiwa ni pamoja na wacheza Filamu Televishen na Redio Hollywood imekua mstari wa mbele katika kutoa elimu ya kina kuhusiana na makosa mtandao jinsi yanavyo tendwa na namna ya kutambua na kujikinga.
Kumekua na kampeni endelevu Kupitia tamthilia mbali mbali pamoja na muvi zinazotengenezwa marekani kuhakiki jamii inatambua aina mpya ya makosa mtandao yanaingizwa katika vipengele mbali mbali ndani ya Filamu zinazotengenezwa.
Baadhi ya Mifano hai ni kutoka katika...
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Ushirikiano muhimu kwa ndugu
11 years ago
Mwananchi02 Nov
Ushirikiano kukuza Kiswahili muhimu
11 years ago
Ykileo
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO

Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...
11 years ago
YkileoMJADALA: UHALIFU MTANDAO
Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...
11 years ago
Ykileo
JE WAJUA? : KESHO YA UHALIFU MTANDAO

Mijadala, maazimio mbali mbali pamoja na kupitishwa maamuzi yakua mwaka huu wa 2014 kua mwaka wa vitendo kukabiliana na uhalifu vimeenda sambamba na ukuwaji wa kasi wa uhalifu mtandao hivi...
11 years ago
Ykileo
TANZANIA NA UHALIFU MTANDAO - MJADALA

Kipindi kilihusisha wageni walio alikwa Katika studio pamoja na mjumuisho...