Ushirikiano kukuza Kiswahili muhimu
Ushirikiano wa pamoja baina wa vyombo vinavyokuza lugha ya Kiswahili unahitajika sana. Ushirikiano huu unahitajika ndani ya nchi na pia nje ya nchi. Kwa mfano ndani ya nchi yetu ya Tanzania viko vyombo vya serikali na vya watu binafsi ambavyo vinajishughulisha na lugha ya Kiswahili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Jun
Sweden, Tanzania kukuza ushirikiano kibiashara
NCHI ya Sweden imedhamiria kuukuza ushirikiano wake na Tanzania kwa Awamu mpya ambayo itaongeza uwekezaji na biashara zaidi.
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Harakati za Waingereza kukuza Kiswahili
Waingereza walipochukua koloni la Tanganyika kutoka kwa Wajerumani, walikuta Kiswahili kimeimarika na kutumika katika utawala na maeneo mengine.
10 years ago
MichuziWANANCHI WAASWA KUKUZA KISWAHILI
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Kitengo cha Lugha Hajaty Shani Kitogo akizindua vitabu viwili vya Kuzaliwa kwa Msafiri na Hadithi za Watoto ambavyo vimetayarishwa na Kituo cha Utamaduni cha India.Hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es Salaam Balozi wa India nchini Debnath Shaw kushoto akimkabidhi vitabu mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho Sabrina Komba mara baada ya uzinduzi wa vitabu hivyo ...
5 years ago
MichuziSekta ya mawasiliano ya simu ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi
Mabadiliko ya kidijitali yamekuwa moja ya chachu kubwa ya kusukuma mbele gurudumu la maendeleo nchini.
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Ujenzi: Sekta muhimu katika kukuza uchumi, yenye changamoto lukuki
Ujenzi ni miongoni mwa sekta zinazokua kwa kasi sana nchini. Sanjari na sekta za mawasiliano, viwanda, uchukuzi na huduma, ujenzi nayo kwa pamoja inachangia ukuaji wa uchumi wa taifa kwa asilimia saba.
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Ushirikiano muhimu kwa ndugu
Makalio ya sufuria hayaogopi moto; mchana inzi na usiku mbu; mawifi liwe liwalo tutaolewa tu na kaka zenu. Mpo hapo? Basi kero za nini na mlikuwa wapi wakati kaka zenu walipotutafuta, kutupenda hatimaye kutuoa? Mwakwetu, hilo ni tamko la Jamila kwao ‘mawifi’ wakorofi
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Ukosefu wa uzalendo, utashi wa kisiasa katika kukuza Kiswahili
Niliwahi kuandika kwamba Serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake ya kimataifa kuhusu kukiendeleza Kiswahili.
10 years ago
MichuziUSHIRIKIANO NI MUHIMU KATIKA UTHIBITI WA UHALIFU MTANDAO
Itakumbukwa Mwishoni mwa mwezi wa tano mwaka huu katika hotuba yangu niliyo iwasilisha kwa wanausalama mitandao tulipo kutana jijini Johannesburg mbali na mambo mengine nilihimiza sana ushirikiano baina yetu kwani wahalifu mtandao wameendelea kua mbele yetu kutokana na ushirikiano mkubwa waliokua nao. Ushirikiano unao mabatana na kusambaza vitendea uhalifu mtandao bure auu kwa gharama nafuu mitandaoni.
Baada ya kulizungumza hili laushirikiano wazungumzaji wengine wote walionekana kuniunga...
Baada ya kulizungumza hili laushirikiano wazungumzaji wengine wote walionekana kuniunga...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania