Harakati za Waingereza kukuza Kiswahili
Waingereza walipochukua koloni la Tanganyika kutoka kwa Wajerumani, walikuta Kiswahili kimeimarika na kutumika katika utawala na maeneo mengine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Harakati za Kiswahili EAC
Hivi sasa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuna harakati za kuraghabisha maendeleo ya wananchi wa nchi za Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi, lengo likiwa kuwashirikisha wananchi wa ngazi mbalimbali katika shughuli za uchumi, siasa, utamaduni, elimu, biashara na masuala ya kijamii.
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Wachina na harakati za kujifunza Kiswahili
Hivi karibun nchini Kenya Redio China Kimataifa ilianzisha darasa la kufundisha Kiswahili kwa Wachina waishio Kenya. Lengo kubwa la kufanya hivyo ni kutoa mafunzo ya lugha hiyo ili kuwawezesha Wachina hao kukifahamu Kiswahili na kuweza kuwasiliana na wenyeji katika shughuli zao za kila siku. Darasa hilo maalumu la Kiswahili linahusisha watu wa kada anuwai wakiwamo wafanyabiashara, wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, Ubalozi wa China na waandishi wa habari.
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Kiswahili katika harakati za ukombozi
Hatuwezi kuzungumzia ukombozi wa Afrika bila kukitaja Kiswahili. Inabainishwa kuwa katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia (1914 – 1918) na ya pili mwaka (1939-1945) na katika mapambano ya nchi za Kiafrika dhidi ya ukoloni, Kiswahili kilikuwa miongoni mwa lugha za harakati za ukombozi zilizotumika. Katika miongo miwili ya mapambano ya kupata uhuru kwa nchi za Afrika, Kiswahili kilishuhudiwa kushika kasi.
10 years ago
MichuziWANANCHI WAASWA KUKUZA KISWAHILI
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Ushirikiano kukuza Kiswahili muhimu
Ushirikiano wa pamoja baina wa vyombo vinavyokuza lugha ya Kiswahili unahitajika sana. Ushirikiano huu unahitajika ndani ya nchi na pia nje ya nchi. Kwa mfano ndani ya nchi yetu ya Tanzania viko vyombo vya serikali na vya watu binafsi ambavyo vinajishughulisha na lugha ya Kiswahili.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Ukosefu wa uzalendo, utashi wa kisiasa katika kukuza Kiswahili
Niliwahi kuandika kwamba Serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake ya kimataifa kuhusu kukiendeleza Kiswahili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dct9gcEa4ZA/XlKWhx8V0EI/AAAAAAAA91I/A-IaaVg3m7kXR2x43wD399gVcCwhUMmggCLcBGAsYHQ/s72-c/UNESCO1.jpg)
UNESCO YATAMBUA KISWAHILI KAMA LUGHA ITAKAYOSAIDIA KUKUZA UTANGAMANO BARANI AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dct9gcEa4ZA/XlKWhx8V0EI/AAAAAAAA91I/A-IaaVg3m7kXR2x43wD399gVcCwhUMmggCLcBGAsYHQ/s640/UNESCO1.jpg)
Mhe. Balozi Shelukindo (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya Wajumbe kutoka UNESCO wakiangalia machapisho mbalimbali ya Lugha ya Kiswahili yaliyoandaliwa na Ubalozi baada ya kushiriki mjadala kuhusu Lugha ya Kiswahili ulioandaliwa na Ubalozi kwa kushirikiana na UNESCO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mZkd1S-7aQg/XlKWXCF0TLI/AAAAAAAA908/jkKWfkGYsjIVSXXDema_YNBxmj7pKeyHACLcBGAsYHQ/s640/UNESCO3.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu katika UNESCO, Mhe. Samwel Shelukindo akizungumza kwenye Mjadala kuhusu "Fursa na Changamoto za Kukitambua Kiswahili kama Lugha rasmi ya Bara la Afrika kwa ajili...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s72-c/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
SHULE ZA MOSHI MJINI MJADALA WA KUKUZA NA KUDUMISHA KISWAHILI NA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU, MGENI RASMI KIJANA DAUDI MRINDOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania