Kiswahili katika harakati za ukombozi
Hatuwezi kuzungumzia ukombozi wa Afrika bila kukitaja Kiswahili. Inabainishwa kuwa katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia (1914 – 1918) na ya pili mwaka (1939-1945) na katika mapambano ya nchi za Kiafrika dhidi ya ukoloni, Kiswahili kilikuwa miongoni mwa lugha za harakati za ukombozi zilizotumika. Katika miongo miwili ya mapambano ya kupata uhuru kwa nchi za Afrika, Kiswahili kilishuhudiwa kushika kasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Oct
MWAJEMI KALUFYA : Alianza harakati za ukombozi wa mwanamke 1969
10 years ago
Dewji Blog11 Apr
Zitto na ACT Wazalendo ‘waanza harakati za ukombozi Songea wafungua matawi kila kona
Wafuasi wa ACT wakiwa kwenye msafara wa kuwapokea viongozi wa chama hicho Mjini Songea Mkoani Ruvuma.
NA MWANDISHI WETU
MJI wa Songea jana ulizizima kwa mapokezi makubwa ya viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe.
Zitto, ambaye ameambatana na viongozi wengine wa juu wa ACT akiwemo Mwenyekiti wa ACT Taifa, Anna Mghwira pamoja na Katibu Mkuu wake Samson Mwigamba.
Viongosi hao walisili jana mjini hapa ambapo walilakiwa na mamia ya wananchi wa...
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Harakati za Kiswahili EAC
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Harakati za Waingereza kukuza Kiswahili
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Wachina na harakati za kujifunza Kiswahili
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARA LA AFRIKA,WANAWAKE WAELEZA NAMNA WALIVYOSHIRIKI KATIKA UKUMBOZI
11 years ago
Mwananchi02 Apr
10 years ago
VijimamboKANISA LA BAPTIST ALILOKUA AKITUMIA DR KING KATIKA HARAKATI ZA KUPINGA UBAGUZI