MWAJEMI KALUFYA : Alianza harakati za ukombozi wa mwanamke 1969
Katikati ya kundi la wanawake wanaharakati kutoka vyuo vikuu na wanataaluma, aliibuka Mwajemi Kalufya akitambulishwa kuwa ni miongoni mwa wakongwe waliosaidia kutetea haki za wanyonge, hasa wanawake wenzao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Kiswahili katika harakati za ukombozi
10 years ago
Dewji Blog11 Apr
Zitto na ACT Wazalendo ‘waanza harakati za ukombozi Songea wafungua matawi kila kona
Wafuasi wa ACT wakiwa kwenye msafara wa kuwapokea viongozi wa chama hicho Mjini Songea Mkoani Ruvuma.
NA MWANDISHI WETU
MJI wa Songea jana ulizizima kwa mapokezi makubwa ya viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe.
Zitto, ambaye ameambatana na viongozi wengine wa juu wa ACT akiwemo Mwenyekiti wa ACT Taifa, Anna Mghwira pamoja na Katibu Mkuu wake Samson Mwigamba.
Viongosi hao walisili jana mjini hapa ambapo walilakiwa na mamia ya wananchi wa...
11 years ago
Habarileo20 Dec
Harakati za kumpata rais mwanamke zaanza
HARAKATI za kupata rais mwanamke zimeanza baada ya ulingo wa wanawake kutangaza kufanya ushawishi kwenye vyama vyote vya siasa wanawake wenye uwezo wapewe nafasi kugombea.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mimute na harakati za kumkomboa mwanamke kiuchumi
VITENDO vya unyanyasaji, ukatili dhidi ya wanawake ni matokeo ya mila gandamizi ambazo ni kikwazo katika ukombozi wa wanawake kiuchumi,mkijamii na kisiasa. Wanawake wengi hasa waishio vijijini, wamekua wakipigwa ovyo,...
9 years ago
MichuziWaraghbishi wa kijiji cha Nyandekwa na Harakati za Kumkomboa Mwanamke
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oj4MhhoM4fQtCetgVAhZxDViddLU6d*7TlDDv7oTsICAB*IenUng-sV5rfuDJ6qd6*y2N3PWpGUz9XkFnNK5N22Xj1ToqLCS/diamond.jpg)
KUMBE KUMWAGWA ALIANZA ZAMANI
11 years ago
Habarileo06 Jan
Lissu: Zitto alianza siku nyingi kuchafua Chadema
LICHA ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuweka zuio la muda kwa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujadili uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mjumbe wa CC, Tundu Lissu amedhihirisha wazi kuwa chama kimemvua Zitto uanachama.
9 years ago
Michuzi21 Oct
UNAFAHAMU NANI ALIANZA KUFUGA MBWA NA ALIKUA AKIISHI WAPI?
![Mbwa](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/8xxMgECYoZ348_9ie_r03UBE1bxL7bT45wKhzFz4X-eKfmvRQCk1e9S6eGoujr8LPbM-XLaSDPBY2sEoOtpJLWQ7baxLzNffjX3XhipbYbxjyjpzlku-N6J63OY-9fNVq7-Ee-OZCFzZ4B5gZDASzDC3HoagJwiXd-K7v_rJLjKIpul9QCXnFlGkhF2zpYzbBsU=s0-d-e1-ft#http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/10/20/151020075954_dog_asia_512x288_getty.jpg)
Watafiti hao walichunguza chembe za msambojeni (DNA) za aina 165 ya mbwa, kutoka mataifa 38 katika kile wanachosema ni utafiti mkubwa zaidi, kuwahi kufanyika duniani kuhusiana na uzao wa mbwa.
Utafiti huo unasema kuwa Nepal na Mongolia ni maeneo ya kwanza kabisa ambapo mbweha walianza kuwa marafiki wakubwa wa binadamu,...
10 years ago
Vijimambo17 Apr
AMBER ROSE ALIANZA KUKATA NYWELE AKIWA NA UMRI WA MIAKA 18
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/17/15/27A9F5C300000578-3043674-image-a-172_1429279259468.jpg)
Hapa ni TBT ya Amber Rose akiwa kinda la miaka 18 fresh kabisa kama punye ya kitunguu, Amber Rose anasema alianza kupenda kuwa na nywele fupi toka akiwa na umri huo hadi sasa ana umri wa miaka 33 anaendelea kuwa na nywele fupi na kuziweka rangi.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/17/15/2780012D00000578-3043674-image-m-176_1429279957815.jpg)
Then and now: The star is now 33 and dyes her famous buzz cut peroxide blonde