Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBE KUMWAGWA ALIANZA ZAMANI

KATIKA historia hii ya maisha ya Diamond, wiki iliyopita tuliishia pale ambapo Diamond alikuwa amemwagwa na demu wake kisa kikiwa msichana huyo kutovumilia maisha duni ya msanii huyo.
Tunaendelea… Mkali wa miondoko ya Bongo Fleva 'Diamond Platnumz' akiwa mbele. Diamond anakwenda mbele zaidi kwa kukumbuka maneno makali na yenye kuchoma moyoni ambayo aliambiwa na demu huyo ambapo kila akiyakumbuka hata leo, bado haamini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''

Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.

 

11 years ago

Habarileo

Lissu: Zitto alianza siku nyingi kuchafua Chadema

LICHA ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuweka zuio la muda kwa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujadili uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mjumbe wa CC, Tundu Lissu amedhihirisha wazi kuwa chama kimemvua Zitto uanachama.

 

9 years ago

Mwananchi

MWAJEMI KALUFYA : Alianza harakati za ukombozi wa mwanamke 1969

Katikati ya kundi la wanawake wanaharakati kutoka vyuo vikuu na wanataaluma, aliibuka Mwajemi Kalufya akitambulishwa kuwa ni miongoni mwa wakongwe waliosaidia kutetea haki za wanyonge, hasa wanawake wenzao.

 

10 years ago

Vijimambo

AMBER ROSE ALIANZA KUKATA NYWELE AKIWA NA UMRI WA MIAKA 18



Hapa ni TBT ya Amber Rose akiwa kinda la miaka 18 fresh kabisa kama punye ya kitunguu, Amber Rose anasema alianza kupenda kuwa na nywele fupi toka akiwa na umri huo hadi sasa ana umri wa miaka 33 anaendelea kuwa na nywele fupi na kuziweka rangi.
Then and now: The star is now 33 and dyes her famous buzz cut peroxide blonde 

 

9 years ago

Michuzi

UNAFAHAMU NANI ALIANZA KUFUGA MBWA NA ALIKUA AKIISHI WAPI?

Mbwa Watafiti wanakubaliana mbwa wamekuwa wakitumiwa na binadamu kwa miaka 15,000,Utafiti mpya unaonyesha kuwa Mbwa walianza kufugwa kwa mara ya kwanza katikati mwa bara Asia.

Watafiti hao walichunguza chembe za msambojeni (DNA) za aina 165 ya mbwa, kutoka mataifa 38 katika kile wanachosema ni utafiti mkubwa zaidi, kuwahi kufanyika duniani kuhusiana na uzao wa mbwa.
Utafiti huo unasema kuwa Nepal na Mongolia ni maeneo ya kwanza kabisa ambapo mbweha walianza kuwa marafiki wakubwa wa binadamu,...

 

11 years ago

Mwananchi

Banza Stone: Alianza muziki kwa kuwa mwana Hip Hop 1989

>Kati ya mambo ambayo huenda ulikuwa huyajui, ni kuhusu mwanamuziki wa dansi nchini Ramadhani Masanja, ‘Banza Stone’, mmoja kati ya wanamuziki wa dansi wa kizazi kipya wanaosisimua jukwaani kuwa aliwahi kuwa mwana Hip Hop.

 

10 years ago

GPL

KUMBE GARI LA WEMA KIMEO

Musa mateja
NInoma! Kumbe lile gari la kifahari aina ya BMW ambalo muigizaji nyota wa filamu Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ alizawadiwa wakati wa bethidei yake na kuwa miongoni mwa sababu za kumwagana na mpenzi wake wa awali, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ mwaka jana, linadaiwa kuwa kimeo kwa vile limekuwa likiharibika mara kwa mara, Amani lina stori kamili. Gari aina ya BMW la Staa wa filamu Bongo, Wema...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kumbe meli inazama baba!

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
Mpenzi Frank,

Hidaya

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumbe Kingunge ni mganga wa kienyeji!

TUME ya Mabadiliko ya Katiba iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete chini ya uenyekiti wa mstaafu Jaji Joseph Warioba imeshirikisha makundi mbalimbali ya wananchi ingawa kuna mengine yaliyosahauliwa. Nilivutiwa na jina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani