Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumbe Kingunge ni mganga wa kienyeji!

TUME ya Mabadiliko ya Katiba iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete chini ya uenyekiti wa mstaafu Jaji Joseph Warioba imeshirikisha makundi mbalimbali ya wananchi ingawa kuna mengine yaliyosahauliwa. Nilivutiwa na jina...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

20% ANASWA KWA MGANGA WA KIENYEJI

Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo Makubwa! Kichwa cha Bongo Fleva kutoka pande za Kimanzichana mkoani Pwani, Abas Kinzasa ‘20%’, anadaiwa kunaswa laivu akiwa kwa mganga wa kienyeji akipata tiba ya kupunguza na kuondoa sumu ya utumiaji wa bangi na pombe, Ijumaa Wikienda lina ‘pakeji’ kamili. Abas Kinzasa ‘20%’. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, ishu hiyo ilijiri katika Kijiji cha Ngukumo...

 

11 years ago

Habarileo

Jambazi afia kwa mganga wa kienyeji

MKAZI wa Kijiji cha Kemakorere, Kata ya Nyarero iliyopo Tarafa ya Inchage, Tarime, Nchagwa Marwa Yusuph (35) aliyekuwa akisakwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha wilayani hapa, amekutwa amekufa nyumbani kwa mganga wa kienyeji alikokuwa akitibiwa majeraha.

 

11 years ago

GPL

WANYWA DAWA YA MGANGA WA KIENYEJI, WAUGUA

Bibi Zaina Athumani. Stori: Makongoro Oging’
HII nayo ni kali na haijawahi kutokea. Wakazi wawili wa Vingunguti kwa Simba Mbili jijini Dar akiwemo mwenye nyumba wamekimbizwa hospitalini na polisi baada ya kunyweshwa dawa na mganga wa kienyeji waliyemleta ili azindike nyumba yao. Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita Vingunguti nyumbani kwa Zaina Athumani,70, ambaye ndiye mwenye nyumba aliyeleta mganga huyo ili azindike...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mganga wa kienyeji Muleba aua mtoto

MTOTO Fausta Geofrey (8), mkazi wa wilayani Muleba, ameuawa kikatili kwa imani za kishirikina na mganga wa kienyeji kwa kunyongwa na kisha kukatwakatwa mapanga na kuondolewa baadhi ya viungo vyake,...

 

11 years ago

Habarileo

Mganga wa kienyeji adaiwa kuiba gari

MGANGA wa kienyeji, Yahaya Michael (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya wizi wa gari.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais

MGANGA wa kienyeji kutoka Mkuranga mkoani Pwani, amemtabiria mgombea urais kupitia chama cha upinzani iwapo ataendelea kutumia fedha kurubuni wananchi wamchague atapoteza maisha kabla siku ya uchaguzi.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana mganga huyo aliyejitambulisha kwa jina la Elisha Kazimoto, ambaye hata hivyo hakutaka kutaja jina la mgombea huyo alisema ameoteshwa na mizimu kuwa anatumia fedha zinazochovywa kwenye damu na kugaiwa kwa...

 

10 years ago

CloudsFM

MGANGA WA KIENYEJI AUAWA KWA RISASI, MAPANGA

Watu wasiofahamika wamemvamia na kumuua mganga wa kienyeji, Salehe Garimoshi (65), mkazi wa Kijiji cha Milala wilayani Mpanda kwa kumpiga risasi kichwani kisha kuukatakata mwili wake kwa mapanga.
Taarifa kutoka eneo la tukio, zilizothibitishwa na Jeshi la Polisi zinadai kuwa baada ya mganga huyo kuvamiwa na watu hao, mmoja wao aliyekuwa na bunduki, alimfyatulia risasi kichwani kisha kuamuru wenzake wamkatekate kwa mapanga.

Kaimu kamanda wa polisi wa Mkoa wa Katavi, Focus Malengo alisema jana...

 

11 years ago

GPL

MZEE SMALL AMTIMUA MGANGA WA KIENYEJI KUTOKA KIGOMA, AMSHIKIA PANGA-3

Mzee Small akiwa saloon. Makala na Saleh Ally JUZI Jumatatu, Mzee Small alikuwa akielezea kuhusiana na namna ambavyo ndugu zake walielekeza lawama kwa mkewe, Mama Said kwamba ni mtu mbaya, yeye akapinga na kutaka waachane na mawazo potofu kwa kuwa amekuwa akijitolea sana hasa katika kipindi hiki kigumu kwake. Mzee Small wakati akiingia saloon. Lakini pamoja na hivyo,… ...

 

5 years ago

Michuzi

Anayedaiwa mganga wa kienyeji ajinyonga mpaka kufa kwa kukiuka masharti ya kiganga

Na Amiri kilagalila,Njombe

Kaido Mfilinge anayekadiliwa kuwa na umri wa mika 30, ambaye inadaiwa ni mganga wa kienyeji kwa asili amekutwa amejinyonga mpaka kufa katika mtaa wa Nazaleti mjini Njombe baada ya kuchukua dawa kwa mganga mwenzie kutoka mkoani Ruvuma na kukiuka masharti ambayo alikuwa amepewa.

Akizungumza na vyombo vya habari kuhusu tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema jeshi la polisi limefika katika eneo ambalo kijana huyo amejinyongea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani