KUMBE GARI LA WEMA KIMEO
![](http://api.ning.com:80/files/Xbc0vWPYETu91hjBVUxNH0*70Q7ec8Z8KEjBpIfY0mddpmO3vD38teQCNm1*BUKa4NiwjHbufcgYJUFKlQNwDVRDO1lQzpjQ/BACKAMANI.jpg)
Musa mateja NInoma! Kumbe lile gari la kifahari aina ya BMW ambalo muigizaji nyota wa filamu Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ alizawadiwa wakati wa bethidei yake na kuwa miongoni mwa sababu za kumwagana na mpenzi wake wa awali, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ mwaka jana, linadaiwa kuwa kimeo kwa vile limekuwa likiharibika mara kwa mara, Amani lina stori kamili. Gari aina ya BMW la Staa wa filamu Bongo, Wema...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3s6kqtPkHzqYoXXqs3pH0zLq9*JsXXMxYjDY33qokYDzIcqj1RQR01Lyrjh7RhjexO2iQ3xvCZLZddy2F-hqsxe/Wemaa.jpg)
PENZI LAKE NA WEMA ,KUMBE DIMPOZ BOYA TU
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Video 2 fupi za comedy:Mwizi wa gari alivyotegwa, Boyfriend anapojidai msamaria kumbe girlfriend tayari ameshajua anachepuka
Kuna vipisi vya sekunde 15 kila kimoja hapa kwenye hii post ya vichekesho/vituko vilivyotengenezwa ambapo hiki cha kwanza hapa kinahusu boyfriend anapojidai msamaria kumbe girlfriend tayari ameshajua anachepuka na cha pili kinahusu Mwizi wa gari alivyotegwa. Pale Boyfriend anapojidai msamaria kumbe girlfriend tayari ameshajua anachepuka… A video posted by millard ayo (@millardayo) on Dec 15, 2015 […]
The post Video 2 fupi za comedy:Mwizi wa gari alivyotegwa, Boyfriend anapojidai msamaria...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0nSK1jz0HGD9bWOlE9luQJykaSFIkqi1rtdoUtQqSFF1g5uNJGAAmlU75Fn7ZomrElBYV2FETewPB6TWfr-FKc7/wema.jpg)
GARI LA DIAMOND LAMCHEFUA WEMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm7Y1n8pZtaV*sEmc2rtW3jsgB3ZtqoZFkbXfgi9a3MZZuiT9IdYcqvyuFss6GlQehvrLFMZMUds8R3urCofmzg7/wema.jpg?width=650)
GARI LA WEMA SEPETU LAZINGIRWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7bwL3Lu5CB1TplUO2owucmhVUqS8x15kjIX8AhDXuN1kNyiVD-q6z40GMAk-mPFCWDN3LNNoWLDbPJrXRQf4144P/WEMAGARI.jpg)
WEMA AUZA GARI LA DIAMOND
10 years ago
Mtanzania24 Mar
Wema, Milard Ayo mabalozi wa gari mpya
NA MWALI IBRAHIM
MSANII wa filamu nchini, Wema Sepetu na Mtangazaji, Milard Ayo, wametangazwa kuwa mabalozi wa gari mpya aina ya Mitsubishi ASX.
Meneja mauzo wa Kampuni ya Diamond Motors, Reena Geratra, alisema mwonekano wa mastaa hao umewavutia kuwateua kuwa mabalozi wao wa kutangaza gari lao hilo linalotumia mafuta kidogo ambalo litahimili foleni za barabarani.
Baada ya kutangazwa hivyo, Wema alifurahishwa na uteuzi huo huku akiahidi kuwa balozi mwema na wa mfano.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5kSAfPiX-F-dW32NKJzXo9KdozfsV9FaDYLH3*t99UoHgaDoN448PpOcyRa0BrO79JNPFxUnwhXdOk2Qbzi19P/dimond.jpg)
WEMA, DIAMOND WAZINDUA GARI KWA MAHABA