Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lissu: Zitto alianza siku nyingi kuchafua Chadema

LICHA ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuweka zuio la muda kwa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujadili uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mjumbe wa CC, Tundu Lissu amedhihirisha wazi kuwa chama kimemvua Zitto uanachama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu amshukia Zitto Kabwe

MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kuwa watu wanaosema kwamba maamuzi ya Kamati Kuu ya chama hicho kuwavua nafasi za uongozi makada wake watatu...

 

10 years ago

Habarileo

Lissu akataa kumuaga Zitto

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe akiagana na wabunge wenzake baada ya kumaliza kutoa hoja yake ya kung’atuka rasmi bungeni Dodoma juzi. (Picha na Mroki Mroki).KITENDO cha aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, kutangaza bungeni kuwa anang’atuka ubunge, kilisababisha Bunge kuzizima huku akipewa pole na wabunge wengi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu: Tusijadili suala la Zitto

Lushoto, Korogwe, Muheza na Tanga MWANASHERIA Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu, amewataka Watanzania, hususan wanachama wa chama hicho kutopoteza muda kujadili suala la baadhi ya wanachama waliopatikana na makosa ya...

 

11 years ago

GPL

TUNDU LISSU: TUMUUE ZITTO KWA LIPI?

WAKATI Watanzania wote macho na masikio yao yakiwa Dodoma kwenye kikao cha Bunge la Katiba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) bado kuna mgogoro unaoendelea kuunguruma chinichini. Tundu Lissu akiongea na wafanyakazi wa Global (hawapo pichani). Mgogoro huo kati ya uongozi wa Chadema na…

 

11 years ago

GPL

TUNDU LISSU NA PETER KIBATARA WAKIONGEA NA WANAHABARI BAADA YA HUKUMU YA ZITTO

Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe Tundu Lissu akiwa na Mwanasheria wa chama hicho, Peter Kibatara wakiongea na wanahabari baada ya hukumu ya kesi ya Zitto Kabwe jana Januari 7, 2014.

 

11 years ago

IPPmedia

When Lissu differed with Chadema politicians


When Lissu differed with Chadema politicians
IPPmedia
The Singida East Member of Parliament, Tundu Lissu is well known for exemplary performance in the august house since he joined the National Parliament after the 2010 elections. Mr Lissu, who revels in bashing the government in Parliament, has found ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu: Askari wanatumika kuiua CHADEMA

MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amesema chama hicho hakitarudi nyuma katika kutetea haki na matumaini ya Watanzania, wakiwemo askari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani